Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Yaaan watu WA bandani WANAJUA kulogaa aiseee khaa YAAN tutafurikajeeKitumbua kimeingia mchanga, Jumapili wakae kwa kutulia majumbani au wakabanane vibanda umiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan watu WA bandani WANAJUA kulogaa aiseee khaa YAAN tutafurikajeeKitumbua kimeingia mchanga, Jumapili wakae kwa kutulia majumbani au wakabanane vibanda umiza.
Robo fainali ni home & away, kwa maana nyingine robo fainali mnacheza bila mashabiki!Hee sasa mechi moja ina affect nini..acheni ujinga na nyie..ndio mashabiki wana impact ila sio kwamba wao ndo tiketi ya timu kufuzu...
Mchezo wa keshokutwa na mwingine wa robo fainaliKufungiwa mashabiki ni pamoja na mechi ya ugenini?si uwanja wako wa nyumbani tu,nikiwa na maana michezo miwili ya nyumbani, hebu nisahihishe ukweli ni upi mana kama ni pamoja na mchezo wa ugenini basi afadhali
Sawa mr Mwanauto...ni mechi moja ya robo na hii ya kesho kutwa...away utawazuiaje timu nyingine isiwe na mashabiki wake?Robo fainali ni home & away, kwa maana nyingine robo fainali mnacheza bila mashabiki!
Tuliza mshono topolo fc tunawafundisha jinsi ya kudeal na waarabu..hahahhaahKolo fc ni timu ya wahun sana
Kombe la wamama ( shirikisho)[emoji32][emoji26][emoji26]Tuliza mshono topolo fc tunawafundisha jinsi ya kudeal na waarabu..hahahhaah
Mechi 3 zipi hizo Utopolo nyuma mwiko..?mechi 3 za mwisho za nyau hazina mvuto kabisa kama wanacheza msibani
Sawa mama mstaafu...Kombe la wamama ( shirikisho)[emoji32][emoji26][emoji26]
Kamdomo NifaKitumbua kimeingia mchanga, Jumapili wakae kwa kutulia majumbani au wakabanane vibanda umiza.
Vitu rahisi tu hawa vyura wanashindwa kuelewa.Watazitumia mechi zijazo mbona liko wazi au nyie hamlioni mpka muanzishe uzi...
Mechi ni mbili mbumbumbu mnafichwa!Nyuma mwiko mechi ni moja endeleeni kuumia
View attachment 3201804
Mechi ni mbili mbumbumbu mnafichwaNyuma mwiko mechi ni moja endeleeni kuumia
View attachment 3201804
Nimeona chapisho la Simba,walifungiwa michezo miwili ila wamesamehewa mmoja,hivo waliolipa viingilizo wakae na tickets kwa mechi inayokuja baada ya hiiMchezo wa keshokutwa na mwingine wa robo fainali
Sasa kwa maana hiyo wa utopolo si ndo vitumbua kabisaWatu wa mpira wanaelewa wewe umeanza shangilia mipira juzi huelewi pita kule