Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanahesabu mechi za nyumbani sio awayJambo la maana ni kwamba tayari simba imeshafuzu.
Hivyo Simba ikishinda mchezo wa Jumapili, itaongoza kundi lake na kufanya mchezo wa kwanza wa robo fainali utachezwa ugenini. (Huko hakuna athari yoyote kwa mashabiki wake)
CAF wamefanikiwa kuharibu sherehe tu ya tarehe 19 January
Mech ijayo ip?Nyuma mwiko mechi ni moja endeleeni kuumia
View attachment 3201804
Mkuu ni habari ya uongoHii habari siiamini mpaka nitakapoona taarifa rasmi. Mimi ni mtu ambaye nikisoma kitu chenye ukakasi mtandaoni sikiamini mpaka nitafute vyanzo vitatu vya uhakika vya kusapoti taarifa hiyo. Mpaka sasa sijaona chanzo chochote kilichoripoti hili.
Tangu lini?Tushazoea kucheza bila mashabiki....
Mmeharibu wenyewe kwa kitendo chenu cha kug'oa viti..!!Jambo la maana ni kwamba tayari simba imeshafuzu.
Hivyo Simba ikishinda mchezo wa Jumapili, itaongoza kundi lake na kufanya mchezo wa kwanza wa robo fainali utachezwa ugenini. (Huko hakuna athari yoyote kwa mashabiki wake)
CAF wamefanikiwa kuharibu sherehe tu ya tarehe 19 January
Mtani pole..!! maana si kwa povu hili la foma gold..!!Ww mchone ni lishabiki lenu bwabwa lile...
Nimelitolea tuu mfano....
Alieanza kutoa viti ni nani?? Ww ulikuwepo uwanjani? Ripoti ya polisi ilisemaje..
na ndo tushawabamiza na robo tumeenda...
Hayo maandishi yapo kisiasa CAF haiwezi kusema tumekufungia mechi mbili hapo hapo tumekusehe moja ni either iwe mbili au moja bila kupindisha manenoNimeona chapisho la Simba,walifungiwa michezo miwili ila wamesamehewa mmoja,hivo waliolipa viingilizo wakae na tickets kwa mechi inayokuja baada ya hii
Dhidi ya agosto na ile timu ya tunisia ambazo zote mbili zinashika nafasi ya naneSiku hizi ugenini na nyumbani hamna tofauti kwa Simba pote tunapata matokeo
Vipi na mlvoenda kuwasha moto kule south na kupigwa faini pia ni watu wa Yanga?//Hapa ni lazima niusifu uwekrzaji wa yanga nje na ndani ya uwanja.
Yanga ina watu wana roho mbaya huwezi kuamini hawakupenda na hawakuwa na furaha mashabiki wa Simba kupewa tuzo ya mashabiki bora.
Walifanikiwa kupandikiza watu walioonekana kama mashabiki wa Simba na wakang'oa viti ili kuichafua brand ya Simba.
Kuna mashabiki wanavaa jezi za Simba lakini ukweli wanaipenda yanga na kutwa kuisema vibaya Simba.
Simba tujifunze kuzuia madhara ya watu kama hawa mapema
Hamrudishiwi, zinaenda kulipa fine huko cafCaf mmejua kutuwezaa aisee
Kazii tunayooo simbaaa
Swali walishaanza kata tkt??
Vipi WALIOKATA TKT tunapataje pesa zetuuu
Hili haiwezekani hata kule American kusini ndio michezo Yao hata kwenye UEFA ukicheki game za Associazione Calcio Milan wakiwa nyumbani pia huwa na fujo uwanjani na vitochi mixer barutiWapige marufuku pia utaratibu wa kumulika wachezaji usoni,ni ujinga na ushamba kwenye soka la Africa
Mkuu mzigo kama huu niandae bajeti ya shilingi ngapi?Hamrudishiwi, zinaenda kulipa fine huko caf
Ofcoz, sidhan kama kungekuwepo na haja ya kusema ni mechi mbili lakin moja tumesamehewa.Hayo maandishi yapo kisiasa CAF haiwezi kusema tumekufungia mechi mbili hapo hapo tumekusehe moja ni either iwe mbili au moja bila kupindisha maneno
Jambo la maana ni kwamba tayari simba imeshafuzu.
Hivyo Simba ikishinda mchezo wa Jumapili, itaongoza kundi lake na kufanya mchezo wa kwanza wa robo fainali utachezwa ugenini. (Huko hakuna athari yoyote kwa mashabiki wake)
CAF wamefanikiwa kuharibu sherehe tu ya tarehe 19 January
Robo fainali mechi muhimu.Kikubwa tumeshafuzu....ila CAF bwanaa wamesubira weeee hawakutaka kutupa stress..
Zitatumika kwenye mechi baada ya kufunguliwa...au tukiamua tunalipa tu viingilio kwa kuchangia timuCaf mmejua kutuwezaa aisee
Kazii tunayooo simbaaa
Swali walishaanza kata tkt??
Vipi WALIOKATA TKT tunapataje pesa zetuuu
Ndo uzalendo wenyewe hila ya waliopia tickets zilipe fainiHayo maandishi yapo kisiasa CAF haiwezi kusema tumekufungia mechi mbili hapo hapo tumekusehe moja ni either iwe mbili au moja bila kupindisha maneno
Foundation ilicost 19mMkuu mzigo kama huu niandae bajeti ya shilingi ngapi?