Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

wataathirika ktk mchezo wa robo fainal. Niseme neno la mwisho kuwa simba safari yake imeishia robo fainal over.
Safari ipi? Maana toka mseme sfr yetu imeisha chakushangaza ndo tumefuzu huku tuna mchezo mmoja...
Kama mashabiki wanacheza basi sawa...
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mashabiki Bora wa kuvunja viti na kuchoma viwanja vya watu
Kaka uto hayo mambo huyawezi huwezi kwanza kuelewa...na bado tutachukua tuzo nyingine nyie pambaneni huko clabu bingwa bia
:Hello: :Hello:
 
Tunaomba kibali tunafunga screem shamba la bibi
 
Klabu ya Simba itacheza mechi zake mbili za CAF bila ya mashabiki kufuatia vurugu zilizofanywa na mashabiki wake katika mchezo dhidi ya Cx Sfaxien. Aidha club ya 5imba imetozwa faini ya 40,000 USD ambayo inatakiwa kulipwa kabla ya tarehe 20 mwezi huu.
Soma vizuri ni mechi Moja, ya pili tumepewa msamaha Kwa sababu hii ndio mara ya kwanza kutenda kosa.
 
Kwaiyo ripoti ya polisi ilisema mchome ndio kavunja viti? Mashabiki wenu awajielewi kwani ni mara ya kwanza kuvunja viti? Tulieni dawa iwaingie na iyo ni rekodi nyingine ya ovyo mmeiweka baada ya Ile ya kuchoma moto uwanja kule afrika kusini Tena kwenye michuano iyo iyo ya wakina mama sijui uwa mna matatizo Gani nyie watu!
Hapa watakataa watasema wale ni wachezaji wa yanga ndo walichoma uwanja kwa madiba

Kiujumla rage hakukosea😂😂
 
Nimeona chapisho la Simba,walifungiwa michezo miwili ila wamesamehewa mmoja,hivo waliolipa viingilizo wakae na tickets kwa mechi inayokuja baada ya hii
Ee ni kweli..nasikia wamepeleka malalamiko kuwa wao sio walioanzisha vurugu ni wale waarabu na mashabiki walirudisha kama kujihami..
 
Back
Top Bottom