Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Caf ni wapuuz kabisa

Sfaxien ilitakiwa iondolewe kwenye mashindano kabisa,sasa adhabu ya sfaxien mwanzilish wa fujo inafanana na ya simba

Ujinga kabisa,waraabu ni pi mb
Huna akili kwaio mwarabu akivunja kiti nawew kolo ukamua kuvunja ili kumkomoa karia au
 
Adhabu ni ndogo Sana. Hii ni mara ya pili haya mavuta bangi yanaitia aibu nchi
 
Hapa ni lazima niusifu uwekrzaji wa yanga nje na ndani ya uwanja.
Yanga ina watu wana roho mbaya huwezi kuamini hawakupenda na hawakuwa na furaha mashabiki wa Simba kupewa tuzo ya mashabiki bora.
Walifanikiwa kupandikiza watu walioonekana kama mashabiki wa Simba na wakang'oa viti ili kuichafua brand ya Simba.
Kuna mashabiki wanavaa jezi za Simba lakini ukweli wanaipenda yanga na kutwa kuisema vibaya Simba.
Simba tujifunze kuzuia madhara ya watu kama hawa mapem

Hapa ni lazima niusifu uwekrzaji wa yanga nje na ndani ya uwanja.
Yanga ina watu wana roho mbaya huwezi kuamini hawakupenda na hawakuwa na furaha mashabiki wa Simba kupewa tuzo ya mashabiki bora.
Walifanikiwa kupandikiza watu walioonekana kama mashabiki wa Simba na wakang'oa viti ili kuichafua brand ya Simba.
Kuna mashabiki wanavaa jezi za Simba lakini ukweli wanaipenda yanga na kutwa kuisema vibaya Simba.
Simba tujifunze kuzuia madhara ya watu kama hawa mapema
Kolo tulia hakuna mwananchi mbumbumbu wakufanya ivo ninyie vijana warage
 
Ongezea wamefungiwa mechi 2 za caf iyo ya jumapili na Moja ya robo fainali!
Screenshot_20250114-190947_WhatsApp.jpg
 
Soma vizuri ni mechi Moja, ya pili tumepewa msamaha Kwa sababu hii ndio mara ya kwanza kutenda kosa.
Mara yakwanza vp nawakat kwenye mashindano hayahaya yalooser mlichoma uchawi kule sauz namkapigwa faini
 
Kanifurahisha hapo... 🤣 🤣 🤣 jinsi anavyotamani adhabu iwe mechi mbili mpk kuchapia..
Wala usiwaze. Tutajaza vibanda umiza na baa zote NJI hii na hasira za kuujaza uwanja tutazielekeza kwenye mechi ya robo fainali. Wakati huo tutakuwa tumebaki peke yetu mashindano ya CAF.
 
Back
Top Bottom