Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Mashab
Hapa ni lazima niusifu uwekrzaji wa yanga nje na ndani ya uwanja.
Yanga ina watu wana roho mbaya huwezi kuamini hawakupenda na hawakuwa na furaha mashabiki wa Simba kupewa tuzo ya mashabiki bora.
Walifanikiwa kupandikiza watu walioonekana kama mashabiki wa Simba na wakang'oa viti ili kuichafua brand ya Simba.
Kuna mashabiki wanavaa jezi za Simba lakini ukweli wanaipenda yanga na kutwa kuisema vibaya Simba.
Simba tujifunze kuzuia madhara ya watu kama hawa
Mashabiki wenye mawazo kama haya ni mtaji wa viongozi wabovu.
 
Humo uwanjani waangaliaji wanajulikana vp km huyu shabiki wa simba au laa? Sijafahamu 😇
 
CAF sio TFF. Ingelikuwa TFF ndo wanapaswa kutoa adhabu wasingelitoa maana TFF ni Koloz damudamu
 
biki

Mashabiki wengi wa makolo ni mashabiki maandazi na wengi wamepatikana kipindi kile manara alivyokua msemaji pale aliwashawishi mashabiki wengi sana hasa wadada kuna jamaa yangu mmoja ofisini miaka iliyopita nilikuwa simuonagi kujishughulisha na mipira alikua hajui chochote lakini ghafla nikaona yupo kwa makolo tena mkibishana kuhusu mpira anabisha haswa. Siku hizi kila timu lao likicheza lazima aposti mtandaoni huwa nacheka. Mi nimefurah kama makolo wamefungiwa ili hawa mashabiki wao wa kuanzia juzi juzi wafunge midomo yao
Historia ya Yanga unaijua vzr kifupi Yanga ni timu ya Malofa historically
 
Hii inaonyesha Simba sasa imefikia level ya Club kubwa kubwa kama ilivyowahi kutokea kwa Liverpool, Manchester United, Al Ahly, Zamalek, Raja, Espirance
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mechi Moja na sio mbili wanaunyama Hawa wangefungiwa tani kabisa
 
Kikubwa tumeshafuzu....ila CAF bwanaa wamesubira weeee hawakutaka kutupa stress..
Na nyinyi muachane na tabia yenu mbaya ya kung'oa viti vya uwanja wa Taifa. Hii ni mara ya pili mnafanya uharibifu.
 
Wakuu

CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC

==

Timu ya Simba Sports Club imeamriwa kucheza mchezo mmoja bila mashabiki na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kufuatia vurugu zilizotokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi dhidi ya CS Sfaxien.

Adhabu hiyo itaathiri mchezo wao wa nyumbani dhidi ya CS Constantine, utakaochezwa Jumapili, Januari 19.

Soma: CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba
Simba SC pia imetoza faini ya dollars Elfu 40 (TSh. Milioni 100,037,200) na imetakiwa zilipwe ndani ya siku 60.

Taarifa rasmi ya Klabu ya Simba
Mashahidi wa CAF walikua ni Yanga
 
Haya sasa, Mdakuzi unasemaje?

Hata kama mmeshafuzu, kucheza bila mashabiki mlishangilia wenzenu walipofungiwa sasa na nyie rungu limewafikia pamoja na faini juu.
Tumeshafuzu haina shida. Ni heri sasa kuliko ingekuja robo au tusingekuwa tumefuzu.

Ova
 
Hawa makolo lipo linalowakuta, wao ndio waanzilishi wa vurugu halafu wanapata upendeleo sana. Ile mechi ya Yanga na Al Ahly video zilionyesha kabisa ni makolo waliingilia mechi ya Yanga wakafanya fujo sana hasa baada ya Yanga kusawazisha. Adhabu ikaenda kwa Yanga. Sasa kidogo kidogo CAF wameanza kuwashtukia mbumbumbu
 
Back
Top Bottom