Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwahiyo, kung'oa viti ndo unajihami na nini?Ee ni kweli..nasikia wamepeleka malalamiko kuwa wao sio walioanzisha vurugu ni wale waarabu na mashabiki walirudisha kama kujihami..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo, kung'oa viti ndo unajihami na nini?Ee ni kweli..nasikia wamepeleka malalamiko kuwa wao sio walioanzisha vurugu ni wale waarabu na mashabiki walirudisha kama kujihami..
C unaona sasa mashabiki wa miaka hii ya karibuniHistoria ya Yanga unaijua vzr kifupi Yanga ni timu ya Malofa historically
Huyo Manara yupo timu gani kwa sasa?Mashabiki wengi wa makolo ni mashabiki maandazi na wengi wamepatikana kipindi kile manara alivyokua msemaji pale
Wangeruhusu mashabiki waingie wavune pesa ila mechi ya robo ndio wangecheza bila mashabikiIla Jumapili ingekua funga kazi kwa mkapa lile nyomi lake aisee..
Yupo jwaneng galaxyHuyo Manara yupo timu gani kwa sasa?
Alikwenda huko baada ya kutoka Simba au utopoloz?Yupo jwaneng galaxy
Na utateswa sana na mke wako!Rage alkua sahihi
Walinzi ndio walin'goa viti wakan'goa na camera ili kupoteza ushahidi....Uwanja ulikuwa na walinzi na camera za usalama kwanini watu hawa hawajakamatwa kama wahalifu kabla hata CAF kutoa adhabu ya ujumla
Alikwenda huko baada ya kutoka Simba au utopoloz?
Baada ya kutoka kwa makolo au mbumbumbu fcAlikwenda huko baada ya kutoka Simba au utopoloz?
Unawaza kwa kutumia makalio bila shaka....Baada ya kutoka kwa makolo au mbumbumbu fc
Angalau.Hakuna tuna siku moja tuu ya jumapili
Matusi ya nini😀😀 c unaona mlivyokua hamna akili mnazani CAF ni TFFUnawaza kwa kutumia makalio bila shaka....
Ungewaza kwa kutumia ubongo ungebaini kuwa ni ngumu sana kumtenganisha huyo mzungu poli na vyura.
Nakushangaa leo unamkana msemaji wa utopoloz 😂😂
Adhabu tayari CAF wameipunguza. Simba Wamefungiwa mechi moja tu kucheza bila mashabiki.Kufungiwa mashabiki ni pamoja na mechi ya ugenini?si uwanja wako wa nyumbani tu,nikiwa na maana michezo miwili ya nyumbani, hebu nisahihishe ukweli ni upi mana kama ni pamoja na mchezo wa ugenini basi afadhali
Jifunze kuandika we 🐸wahedmnazani