Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Caf wanaona hela kila wakiangia hio nyomi,hata Mo anaona hela tu akiangalia hilo nyomi ila mtu mweusi anaona burudani pekeeCaf wenyewe wanaburudika kwa jambo kama hilo
Haya tuseme walikuwa 2600.Mwembeyanga hauna ubavu wa kuweka watu 60000
Hii labda ya lipumba. 😂😂Hii naona inaweza waudhi zaidi CAF next time watazuia mashabiki Uwanjani na watazuia hata kwenye TV wasiangalie. Maana ni kama wanasema "Hamjatukomoa" inaudhi sana. Hizi picha zimewafikia CAF na wameamua kuzifanyia kazi.
View attachment 3209287
Mwembeyanga hauna ubavu wa kuweka watu 60000
Simba guvu moyaSimba nguvu moja
Wafungie TV na radio pia😂😂😂Hii naona inaweza waudhi zaidi CAF next time watazuia mashabiki Uwanjani na watazuia hata kwenye TV wasiangalie. Maana ni kama wanasema "Hamjatukomoa" inaudhi sana. Hizi picha zimewafikia CAF na wameamua kuzifanyia kazi.
View attachment 3209287
exactlyMwembeyanga hauna ubavu wa kuweka watu 60000
Umepaniki sana. Hii hasira ni kwa vile hujala. The hungry man is angry always. Wewe kutokula siyo shida zangu.Mkiambiwa mpeleke watoto wenu shule mnaishia kulalamikia EMS. Sasa ona mleta mada hata hujui kilichoandikwa umejaza UTOPOLO kichwani mwako