MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Miss mbumbumbu mnafeli ndiyo maana viongozi wanawachezea! Mecho ni mbiliNani afichwe wewe??? Kwani dunia mbona ipo kiganjani jamani mr uto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss mbumbumbu mnafeli ndiyo maana viongozi wanawachezea! Mecho ni mbiliNani afichwe wewe??? Kwani dunia mbona ipo kiganjani jamani mr uto?
Robo fainali watakuwa wana mashabiki, barua ya Simba imekiri adhabu mechi 2 ila wamepunguziwa imekuwa mechi moja hivyo robo watacheza na mashabikiOngezea wamefungiwa mechi 2 za caf iyo ya jumapili na Moja ya robo fainali!
Mechi mbili, tulio ndani tunalijua hiloDah Mwamba unaweza bishana na radio🙌
HAhaaha hahaahha watu tuna akili zetu bana...Miss mbumbumbu mnafeli ndiyo maana viongozi wanawachezea! Mecho ni mbili
Sipo karb mtani ningekuja walai...hahaahZingatieni msemo wa msemaji wenu wa"kuifuata furaha kwa jirani" kama hamta ipata kwenu kwahiyo njoo lupaso siku ya jumamosi mtani.
Huna akili kwaio mwarabu akivunja kiti nawew kolo ukamua kuvunja ili kumkomoa karia auCaf ni wapuuz kabisa
Sfaxien ilitakiwa iondolewe kwenye mashindano kabisa,sasa adhabu ya sfaxien mwanzilish wa fujo inafanana na ya simba
Ujinga kabisa,waraabu ni pi mb
Hapa ni lazima niusifu uwekrzaji wa yanga nje na ndani ya uwanja.
Yanga ina watu wana roho mbaya huwezi kuamini hawakupenda na hawakuwa na furaha mashabiki wa Simba kupewa tuzo ya mashabiki bora.
Walifanikiwa kupandikiza watu walioonekana kama mashabiki wa Simba na wakang'oa viti ili kuichafua brand ya Simba.
Kuna mashabiki wanavaa jezi za Simba lakini ukweli wanaipenda yanga na kutwa kuisema vibaya Simba.
Simba tujifunze kuzuia madhara ya watu kama hawa mapem
Kolo tulia hakuna mwananchi mbumbumbu wakufanya ivo ninyie vijana warageHapa ni lazima niusifu uwekrzaji wa yanga nje na ndani ya uwanja.
Yanga ina watu wana roho mbaya huwezi kuamini hawakupenda na hawakuwa na furaha mashabiki wa Simba kupewa tuzo ya mashabiki bora.
Walifanikiwa kupandikiza watu walioonekana kama mashabiki wa Simba na wakang'oa viti ili kuichafua brand ya Simba.
Kuna mashabiki wanavaa jezi za Simba lakini ukweli wanaipenda yanga na kutwa kuisema vibaya Simba.
Simba tujifunze kuzuia madhara ya watu kama hawa mapema
Viongozi wao wamezoea wizi wanasema pesa waliyolipa itatumika kwenye mchezo wa robo fainali sijui wanamaanisha robo fainali ipi?Ongezea wamefungiwa mechi 2 za caf iyo ya jumapili na Moja ya robo fainali!
Ongezea wamefungiwa mechi 2 za caf iyo ya jumapili na Moja ya robo fainali!
🤣🤣🤣Kwanini bold kwenye mecho lakiniHAhaaha hahaahha watu tuna akili zetu bana...
Basi sawa ni mecho mbili
Kanifurahisha hapo... 🤣 🤣 🤣 jinsi anavyotamani adhabu iwe mechi mbili mpk kuchapia..🤣🤣🤣Kwanini bold kwenye mecho lakini
Daaah 😂😂😂Kanifurahisha hapo... 🤣 🤣 🤣 jinsi anavyotamani adhabu iwe mechi mbili mpk kuchapia..
Siwaelewi wanachama wanaotoa taarifa za klabu kabla ya klabu yenyewe. Nadhani hili ni tatizo lingine sugu pale Simba. Ngoja nitulie nitakuja kulivalia njuga hili hadi waache hiyo tabia.Mkuu ni habari ya uongo
Mara yakwanza vp nawakat kwenye mashindano hayahaya yalooser mlichoma uchawi kule sauz namkapigwa fainiSoma vizuri ni mechi Moja, ya pili tumepewa msamaha Kwa sababu hii ndio mara ya kwanza kutenda kosa.
Wala usiwaze. Tutajaza vibanda umiza na baa zote NJI hii na hasira za kuujaza uwanja tutazielekeza kwenye mechi ya robo fainali. Wakati huo tutakuwa tumebaki peke yetu mashindano ya CAF.Kanifurahisha hapo... 🤣 🤣 🤣 jinsi anavyotamani adhabu iwe mechi mbili mpk kuchapia..