Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaaSiku hizi ugenini na nyumbani hamna tofauti kwa Simba pote tunapata matokeo
Inategemea unacheza na ihefu wa Algeria ama unacheza na nani na kwenye hatua ganiSiku hizi ugenini na nyumbani hamna tofauti kwa Simba pote tunapata matokeo
Kufungiwa mashabiki ni pamoja na mechi ya ugenini?si uwanja wako wa nyumbani tu,nikiwa na maana michezo miwili ya nyumbani, hebu nisahihishe ukweli ni upi mana kama ni pamoja na mchezo wa ugenini basi afadhaliJambo la maana ni kwamba tayari simba imeshafuzu.
Hivyo Simba ikishinda mchezo wa Jumapili, itaongoza kundi lake na kufanya mchezo wa kwanza wa robo fainali utachezwa ugenini. (Huko hakuna athari yoyote kwa mashabiki wake)
CAF wamefanikiwa kuharibu sherehe tu ya tarehe 19 January
bikiWakuu
CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC
==
Timu ya Simba Sports Club imefungiwa michezo miwili na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya vurugu za Benjamin Mkapa mchezo dhidi ya CS Sfaxien. Mchezo wao dhidi ya CS Constantine Jumapili Januari 19 na mchezo mmoja wa robo fainali kucheza bila mashabiki wao.
Soma: CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba
Simba SC pia imetoza faini ya dollars Elfu 40 (TSh. Milioni 101,082,186) na imetakiwa zilipwe ndani ya siku 60.
Simba SC imepanga kutoa taarifa rasmi kwa mashabiki wao muda mchache ujao.
Mashabiki wengi wa makolo ni mashabiki maandazi na wengi wamepatikana kipindi kile manara alivyokua msemaji pale aliwashawishi mashabiki wengi sana hasa wadada kuna jamaa yangu mmoja ofisini miaka iliyopita nilikuwa simuonagi kujishughulisha na mipira alikua hajui chochote lakini ghafla nikaona yupo kwa makolo tena mkibishana kuhusu mpira anabisha haswa. Siku hizi kila timu lao likicheza lazima aposti mtandaoni huwa nacheka. Mi nimefurah kama makolo wamefungiwa ili hawa mashabiki wao wa kuanzia juzi juzi wafunge midomo yaoWakuu
CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC
==
Timu ya Simba Sports Club imefungiwa michezo miwili na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya vurugu za Benjamin Mkapa mchezo dhidi ya CS Sfaxien. Mchezo wao dhidi ya CS Constantine Jumapili Januari 19 na mchezo mmoja wa robo fainali kucheza bila mashabiki wao.
Soma: CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba
Simba SC pia imetoza faini ya dollars Elfu 40 (TSh. Milioni 100,037,200) na imetakiwa zilipwe ndani ya siku 60.
Simba SC imepanga kutoa taarifa rasmi kwa mashabiki wao muda mchache ujao.
Sina mood ya kubishana mkuu bado sijalaInategemea unacheza na ihefu wa Algeria ama unacheza na nani na kwenye hatua gani
Infact point 3 zilikua muhimu sanaa kuliko kufungiwa 😂😂Bado ni mashabiki bora...
Hapana sio kweliOya kweli tunefungiwa?
Shabiki anakuwaje mandazibiki
Mashabiki wengi wa makolo ni mashabiki maandazi na wengi wamepatikana kipindi kile manara alivyokua msemaji pale aliwashawishi mashabiki wengi sana hasa wadada kuna jamaa yangu mmoja ofisini miaka iliyopita nilikuwa simuonagi kujishughulisha na mipira alikua hajui chochote lakini ghafla nikaona yupo kwa makolo tena mkibishana kuhusu mpira anabisha haswa. Siku hizi kila timu lao likicheza lazima aposti mtandaoni huwa nacheka. Mi nimefurah kama makolo wamefungiwa ili hawa mashabiki wao wa kuanzia juzi juzi wafunge midomo yao
Watu wa mpira wanaelewa wewe umeanza shangilia mipira juzi huelewi pita kuleShabiki anakuwaje mandazi
Viwanjani kwenyewe mnaendaga basi!Huyu ujinga YANGA hatunaaa kabisaa
Hee sasa mechi moja ina affect nini..acheni ujinga na nyie..ndio mashabiki wana impact ila sio kwamba wao ndo tiketi ya timu kufuzu...Hasara kubwa! Yaani mcheze robo fainali bila mashabiki mtarajie kufuzu nusu??
Kolo fc ni timu ya wahun sanaWatazitumia mechi zijazo mbona liko wazi au nyie hamlioni mpka muanzishe uzi...
Endelea kuuumia ila haitafanya kutoa ukweli kuwa sisi ni mashabiki bora..sasa kama ww unaangalia rekodi za mioto sijui nini ww hapo uumie mpk uongezewe drip....Kwaiyo ripoti ya polisi ilisema mchome ndio kavunja viti? Mashabiki wenu awajielewi kwani ni mara ya kwanza kuvunja viti? Tulieni dawa iwaingie na iyo ni rekodi nyingine ya ovyo mmeiweka baada ya Ile ya kuchoma moto uwanja kule afrika kusini Tena kwenye michuano iyo iyo ya wakina mama sijui uwa mna matatizo Gani nyie watu!