Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Kitumbua kimeingia mchanga, Jumapili wakae kwa kutulia majumbani au wakabanane vibanda umiza.
Yaaan watu WA bandani WANAJUA kulogaa aiseee khaa YAAN tutafurikajee
 
Hee sasa mechi moja ina affect nini..acheni ujinga na nyie..ndio mashabiki wana impact ila sio kwamba wao ndo tiketi ya timu kufuzu...
Robo fainali ni home & away, kwa maana nyingine robo fainali mnacheza bila mashabiki!
 
Kufungiwa mashabiki ni pamoja na mechi ya ugenini?si uwanja wako wa nyumbani tu,nikiwa na maana michezo miwili ya nyumbani, hebu nisahihishe ukweli ni upi mana kama ni pamoja na mchezo wa ugenini basi afadhali
Mchezo wa keshokutwa na mwingine wa robo fainali
 
Robo fainali ni home & away, kwa maana nyingine robo fainali mnacheza bila mashabiki!
Sawa mr Mwanauto...ni mechi moja ya robo na hii ya kesho kutwa...away utawazuiaje timu nyingine isiwe na mashabiki wake?
 
Subiriii ze comedy wao aje hapa ....apige ngonjera zakeee
 
Nyuma mwiko mechi ni moja endeleeni kuumia
Screenshot_20250114-171910_WhatsAppBusiness.jpg
 
Hii kitu ni mbaya sana hatua za robo bila mashabiki, ni mwiba kwa simba. Bora wangeitoa mapema pumbav zao
 
YULE KIBOROOSHUTAA WAOO
MPIGA MAKELELE ALISEMA ASBH TUJAZANE

SIJUI ANASEMAJEA JION TUJAZANE VIBANDANI
 
Mchezo wa keshokutwa na mwingine wa robo fainali
Nimeona chapisho la Simba,walifungiwa michezo miwili ila wamesamehewa mmoja,hivo waliolipa viingilizo wakae na tickets kwa mechi inayokuja baada ya hii
 
Back
Top Bottom