jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Mbinu zao? Kivipi?Mbinu za huyu kocha na Robati ni chanda na Pete, hao wachezaji wenu wasioweza kufanya mashambulizi ya kushtukiza mtamfukuza kabla ya Pasaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinu zao? Kivipi?Mbinu za huyu kocha na Robati ni chanda na Pete, hao wachezaji wenu wasioweza kufanya mashambulizi ya kushtukiza mtamfukuza kabla ya Pasaka.
Sasa 5-1 inamuhusu nini huyu kocha mpya?Kwani nimesema ni kocha mbovu? CV ya nini Mkuu?
Sikuomba CV yake lakini, ungeweka bila kuquote kwangu wala nisingehangaika kukujibu.Sasa 5-1 inamuhusu nini huyu kocha mpya?
Kocha mpya anatangazwa hutaki kuzungumzia cv yake unataka nini kizungumziwe kwa muktadha wa hii thread?
Kumbe upo mioyoni mwetu kiasi kwamba unajua kuwa hatutaki kwenda uwanjani? Siku ya mechi tukiwepo uwanjani utabadili kauli yako?Wewe soka la bongo unalijua vizuri? Hapo wanatulizwa mashabiki.
Hali ni tete hata kwenda uwanjani hawataki tena, ni move nzuri.
Watamletea wachezaji anaowataka?na kupanga kikosi anachotaka? Wakiweza basi tutatishaHapa sasa Simba akishindwa ni yeye mwenyewe
Matokeo ya 5-1 yanahusu nini na kocha mpya? Haya nendeni na hayo matokeo bank mkakopee kama yanatumika kila sehemu.Bado 5-1 zinaishi vichwani mwenu, Kisa alitufunga finals?
Tena kwa kanuni pekee?
Huyu ndio mzuri, tukiwafunga tunaua ndege wawili kwa jiwe moja, karibu Tanzania Benchika,
Nyumbani kwa mabingwa wa kihistoria Young Africans.
Well said. Apatiwe wacezaji anaowataka watakaoendana na falsafa yake.Itabidi wafanye scouting dirisha lijalo
Mbona mnawaka sana mkisikia 5-1 jamani? Yani yote niliyosema wote mmekomalia 5-1!Matokeo ya 5-1 yanahusu nini na kocha mpya? Haya nendeni na hayo matokeo bank mkakopee kama yanatumika kila sehemu.
Hasira za nini mremboSikuomba CV yake lakini, ungeweka bila kuquote kwangu wala nisingehangaika kukujibu.
Kwani wewe si ulisema aliwafunga Yanga kwa kanuni na ndiyo maana una imply kwamba siyo kocha bora?Sikuomba CV yake lakini, ungeweka bila kuquote kwangu wala nisingehangaika kukujibu.
Ni kweli ila kupitia mechi ya kesho, viongozi watajifunza kituHuo muda wa kusubiri mtaupata wapi!! Na wakati wa dirisha la usajili viongozi wenu watasajili wachezaji wa bei nafuu, na wale wa mihemko wa airport!
Halafu mwishoni mwa msimu, kama ilivyo kawaida, mtamtengenezea zengwe na kumfukuza.