Klabu ya Simba imemtangaza Kocha Abdelhak Benchikha kumrithi Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’

Klabu ya Simba imemtangaza Kocha Abdelhak Benchikha kumrithi Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’

Kwa hakika mpira wa Tanzania umekua sana. Kama kocha wa kariba hii anakubali kuja ni hatua kubwa.

Hapa achilia mbali ukubwa wa Simba. Ngoja tuone nae atatuletea nini. Walau anaufahamu mpira wa africa kwa kiasi kikubwa hasa huko kaskazini.

Viwango vya Simba ni next level.
Ni kweli mkuu ligi imeongezeka ubora
 
Bado 5-1 zinaishi vichwani mwenu, Kisa alitufunga finals?
Tena kwa kanuni pekee?

Huyu ndio mzuri, tukiwafunga tunaua ndege wawili kwa jiwe moja, karibu Tanzania Benchika,
Nyumbani kwa mabingwa wa kihistoria Young Africans.
Nifah Kama wewe ni yanga, kwa heshima ya Wana Simba toa lemba Hilo kichwani
 
Bado 5-1 zinaishi vichwani mwenu, Kisa alitufunga finals?
Tena kwa kanuni pekee?

Huyu ndio mzuri, tukiwafunga tunaua ndege wawili kwa jiwe moja, karibu Tanzania Benchika,
Nyumbani kwa mabingwa wa kihistoria Young Africans.
Kama nyie mlivyomsajili okwi baada ya kuwatupia bao mbili kati ya zile tano mwezi wa 5 tarehe 6 2012?
 
Back
Top Bottom