Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Tuokoe Muda wakuu. Wajumbe wa Simba upande wa wanachama katika Bodi wameshakana klabu kupokea 20B kutoka kwa anayedaiwa ni mwekezaji aliyenunua 20B.
Ikumbukwe hawa wajumbe ndo wawakilishi wa klabu katika bodi ikisemekana wanamiliki ile 51%
Kwa lugha nyepesi ninkuwa Simba imeshamkana Mo Dewji na kampuni yake ya Mo Simba Company Ltd. Hata ile picha ya Cheki aliyopiga Mo akiwakabidhi maana yake ni ulaghai.
Sasa kwa tuhuma hizi , suala la Uoande wa Mo chini ya Mr Try Again kuendelea kukaa kimya, maana yake kuna ulaghai kweli na hapa wanajipanga gia au namna ya kuoangua hili sakata. Inafikirisha sana🤔🤔
Tunamtaka Mo ajitokeze hadharani na kutoa maelezo ya tuhuma hizi
Ikumbukwe hawa wajumbe ndo wawakilishi wa klabu katika bodi ikisemekana wanamiliki ile 51%
Kwa lugha nyepesi ninkuwa Simba imeshamkana Mo Dewji na kampuni yake ya Mo Simba Company Ltd. Hata ile picha ya Cheki aliyopiga Mo akiwakabidhi maana yake ni ulaghai.
Sasa kwa tuhuma hizi , suala la Uoande wa Mo chini ya Mr Try Again kuendelea kukaa kimya, maana yake kuna ulaghai kweli na hapa wanajipanga gia au namna ya kuoangua hili sakata. Inafikirisha sana🤔🤔
Tunamtaka Mo ajitokeze hadharani na kutoa maelezo ya tuhuma hizi