Klabu ya Simba imeshakana kupokea 20B za Mo. Yeye kuendelea kukaa kimya ni kudhihirisha ulaghai wake

Klabu ya Simba imeshakana kupokea 20B za Mo. Yeye kuendelea kukaa kimya ni kudhihirisha ulaghai wake

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Tuokoe Muda wakuu. Wajumbe wa Simba upande wa wanachama katika Bodi wameshakana klabu kupokea 20B kutoka kwa anayedaiwa ni mwekezaji aliyenunua 20B.

Ikumbukwe hawa wajumbe ndo wawakilishi wa klabu katika bodi ikisemekana wanamiliki ile 51%

Kwa lugha nyepesi ninkuwa Simba imeshamkana Mo Dewji na kampuni yake ya Mo Simba Company Ltd. Hata ile picha ya Cheki aliyopiga Mo akiwakabidhi maana yake ni ulaghai.

Sasa kwa tuhuma hizi , suala la Uoande wa Mo chini ya Mr Try Again kuendelea kukaa kimya, maana yake kuna ulaghai kweli na hapa wanajipanga gia au namna ya kuoangua hili sakata. Inafikirisha sana🤔🤔

Tunamtaka Mo ajitokeze hadharani na kutoa maelezo ya tuhuma hizi
 
20240609_203518.jpg
 
Enzi hizo tuliojaribu kuhoji kuhusu hizo bilioni 20 za Mwekezaji, aisee tulishambuliwa kama mpira wa kona! Cha kushangaza eti leo hii wanaparuana wenyewe kwa wenyewe kuhusu jambo lile lile!
Kingangwalla alikua na hoja tatizo aliitoa wakati ambao sio sahihi, alitoa hoja yake wakati ambao timu inafanya vzr na mashabiki wamezama kwenye mahaba mazito.
 
Duh..... Kama ni kweli poleni sana watani....
 
Tuokoe Muda wakuu. Wajumbe wa Simba upande wa wanachama katika Bodi wameshakana klabu kupokea 20B kutoka kwa anayedaiwa ni mwekezaji aliyenunua 20B.

Ikumbukwe hawa wajumbe ndo wawakilishi wa klabu katika bodi ikisemekana wanamiliki ile 51%

Kwa lugha nyepesi ninkuwa Simba imeshamkana Mo Dewji na kampuni yake ya Mo Simba Company Ltd. Hata ile picha ya Cheki aliyopiga Mo akiwakabidhi maana yake ni ulaghai.

Sasa kwa tuhuma hizi , suala la Uoande wa Mo chini ya Mr Try Again kuendelea kukaa kimya, maana yake kuna ulaghai kweli na hapa wanajipanga gia au namna ya kuoangua hili sakata. Inafikirisha sana🤔🤔

Tunamtaka Mo ajitokeze hadharani na kutoa maelezo ya tuhuma hizi
Fuateni katiba ya Simba siyo kufuata mikamera
 
Viongozi wa Simba mkiambiwa mwende mkajifunze kwa Eng. Hersi jinsi ya kusajili wachezaji wazuri na kuendesha timu kwa mafanikio , mnaendekeza kiburi .

Hapa shida ni Mo au Mangungu ?
 

Attachments

  • Screenshot_20240609_162501_Instagram (2).jpg
    Screenshot_20240609_162501_Instagram (2).jpg
    93 KB · Views: 3
Back
Top Bottom