Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Wadau msichoke bado tunaendelea kuleta Flashback kuhusu tulikotoka na tulipo sasa.
Simba ndo Klabu ya kwanza na ya pekee Tanzania, kufika nusu fainali klabu bingwa Afrika mwaka 1974.
Simba ndo Klabu ya kwanza na ya pekee Afrika kufungwa magoli 4-0 nyumbani na kwenda kushinda ugenini magoli 5-0 katika mashindano ya vilabu vya mabara dhidi ya Mufurila Wonderes ya Zambia mwaka 1979 mbele ya Rais Kenneth Kaunda.
Simba ndo klabu ya kwanza na ya pekee Tanzania kufika fainali Kombe la CAF mwaka 1993 fainali iliyopigwa uwanja wa Uhuru.
Simba ndo bingwa wa kwanza kwa klabu bingwa wa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1974 na mabingwa kwa ukata huu kwa mataji sita.
Simba ndo klabu ya kwanza kumfunga bingwa mtetezi Afrika Zamalek ya Misri na kumtoa kwenye michuano hiyo 2003.
Simba ndo klabu ya kwanza Tanzania kuvaa jezi Oktoba mwaka 1938 miaka miwili tangu kuanzishwa, huku mwaka 1951 wakiwa wa kwanza kuvaa viatu vya mpira.
Simba ndo klabu ya kwanza kupanda ndege mwaka 1960 walipoalikwa kwenye sherehe maalumu Ethiopia na King Haile Selassie.
Wekundu wa Msimbazi ndo wa kwanza kujenga jengo lake mwaka 1971, huku 1967 ikiwa ya klabu ya kwanza kununua basi kwa ajili ya wachezaji.
Wekundu wa Msimbazi wana Lunyasi ndo klabu ya kwanza kuwa bingwa wa Tanzania 1966 huku mwaka huu 2018 wakiwa na Mabingwa wa Nchi.
NB: Hakuna juu yake kwa Simba SC, This Is Simba Ghazwat sembo OKW BOBAN SUNZU King Ngwaba Shunie, Afrika Mashariki...Kama hujui unakotoka utajuaje unakwendaaa? Kazi Kwetu Wachanga na Wahenga katika Soka.
Watani zetu Klabu shindwa Mpo? Sibonike demigod Hajar kwa hisani Bunju de Stadium Karibu.
Simba ndo Klabu ya kwanza na ya pekee Tanzania, kufika nusu fainali klabu bingwa Afrika mwaka 1974.
Simba ndo Klabu ya kwanza na ya pekee Afrika kufungwa magoli 4-0 nyumbani na kwenda kushinda ugenini magoli 5-0 katika mashindano ya vilabu vya mabara dhidi ya Mufurila Wonderes ya Zambia mwaka 1979 mbele ya Rais Kenneth Kaunda.
Simba ndo klabu ya kwanza na ya pekee Tanzania kufika fainali Kombe la CAF mwaka 1993 fainali iliyopigwa uwanja wa Uhuru.
Simba ndo bingwa wa kwanza kwa klabu bingwa wa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1974 na mabingwa kwa ukata huu kwa mataji sita.
Simba ndo klabu ya kwanza kumfunga bingwa mtetezi Afrika Zamalek ya Misri na kumtoa kwenye michuano hiyo 2003.
Simba ndo klabu ya kwanza Tanzania kuvaa jezi Oktoba mwaka 1938 miaka miwili tangu kuanzishwa, huku mwaka 1951 wakiwa wa kwanza kuvaa viatu vya mpira.
Simba ndo klabu ya kwanza kupanda ndege mwaka 1960 walipoalikwa kwenye sherehe maalumu Ethiopia na King Haile Selassie.
Wekundu wa Msimbazi ndo wa kwanza kujenga jengo lake mwaka 1971, huku 1967 ikiwa ya klabu ya kwanza kununua basi kwa ajili ya wachezaji.
Wekundu wa Msimbazi wana Lunyasi ndo klabu ya kwanza kuwa bingwa wa Tanzania 1966 huku mwaka huu 2018 wakiwa na Mabingwa wa Nchi.
NB: Hakuna juu yake kwa Simba SC, This Is Simba Ghazwat sembo OKW BOBAN SUNZU King Ngwaba Shunie, Afrika Mashariki...Kama hujui unakotoka utajuaje unakwendaaa? Kazi Kwetu Wachanga na Wahenga katika Soka.
Watani zetu Klabu shindwa Mpo? Sibonike demigod Hajar kwa hisani Bunju de Stadium Karibu.