Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Tetesi za muda mfupi uliopita
Klabu ya Simba imefumua benchi lake lote la Ufundi sambamba na kuwasimamisha baadhi ya wachezaji
Inasemekana hatua hizo zimechukuliwa kutokana na madai ya hujuma dhidi ya mabingwa hao wa Ligi ya NBC
Kikao cha Bodi linaendelea muda huu na taarifa rasmi itatolewa
Klabu ya Simba imefumua benchi lake lote la Ufundi sambamba na kuwasimamisha baadhi ya wachezaji
Inasemekana hatua hizo zimechukuliwa kutokana na madai ya hujuma dhidi ya mabingwa hao wa Ligi ya NBC
Kikao cha Bodi linaendelea muda huu na taarifa rasmi itatolewa