Mkuu mbona picha inajieleza huyo shabiki kiti alichokishika rangi yake sio mojawapo ya viti ambaye vinavyopatikana kwenye hilo jukwaa inaonekana mashabiki wa timu pinzani ndio waliokirusha huyo shabiki wa simba inaonekana akikirusha kilipotoka kwa mtindo wa jazbawanakimbia