Klabu ya Simba yamfungia Kessy

Klabu ya Simba yamfungia Kessy

Acha afungiwe mana nidhamu yake ya chini, uchezaji wake umekuwa wa kutusimanga sana. Hata kama una mke mzuri vipi huwezi mkubalia kukuendesha anavyotaka mara leo hili kesho lile!
 
Simba timu ninayoipenda imegeuka kichekesho, aliyempiga MTU na ambae kwa maoni yangu ni kipa mbovu zaidi kuidakia simba hajachukuliwa hatua yoyote.
 
Simba ni Zaidi ya yeyote na Simba itaendelea kuwepo kama ambavyo ipo watu makini washaona mambo kwa jicho la tatu hawa madogo sijui kina Kessy wanarubuniwa ukweli huyu dogo anaigharimu sana Simba,ilifaa afukuzwe mapema sana sababu ni Kirusi ndani ya Klabu.
Kwani si ilsemwa ile haikuwa faulo hata chembe ila refa tu alitumwa? Ina maana si kweli kwamba refa ndiye ameifungisha Simba?
 
Zamani kidogo kulikuwa na kupokezana angalau miaka miwili watu wanachukua , sasa ni miaka mitano simba ipo na hata waachama kuwaTisha viongozi hakuna. Basi wote mmelizika na matokeo Mabovu
 
mnamlaumu kessy kwani goli lilifungwa Kabla au Baada ya rafu?
kwani strikes walifunga goli likakataliwa?
kwa nini ni simba tu ndio ina magomvi na wachezaji wake kuhusu nidhamu...kumbuka y upo Banda, isihaka,kessy,kiiza na juuko...wote mshagombana nao

hakuna haja ya excuse...tatizo la simba ni uongozi
 
Huyu jamaa anafaa hata kutimuliwa,kila mechi anacheza rafu na ndo aliyetufungisha mechi ya tuliyocheza na yanga
 
mnamlaumu kessy kwani goli lilifungwa Kabla au Baada ya rafu?
kwani strikes walifunga goli likakataliwa?
kwa nini ni simba tu ndio ina magomvi na wachezaji wake kuhusu nidhamu...kumbuka y upo Banda, isihaka,kessy,kiiza na juuko...wote mshagombana nao

hakuna haja ya excuse...tatizo la simba ni uongozi
Kessy binafsi simulaumu ila kama ni goli kufungwa na refa kulikataa tulifunga halafu refa alikuwaa. mipango ya Simba mfano kunamoja Ajibu alikuwa anakwenda kufunga na Alisha watoka mabeki refa akafanya yake
 
Back
Top Bottom