Kwa jinsi tetesi za usajili wa Simba zilivyo mitandaoni kama ndio zitakuwa hivyo sidhani kama huyu mwamba atapona. Hasa ukizingatia mkataba wake unaisha msimu huu na yeye alishaanza kuzingua aongezewe mpunga mrefu.Onyango nae alietewe mpinzani.
YapKwahivyo anakwenda huko siyo?
Akumu anawindwa na Azam nadhani watakuwa kwenye hatua nzuri ya kunasa saini yake.Kwa jinsi tetesi za usajili wa Simba zilivyo mitandaoni kama ndio zitakuwa hivyo sidhani kama huyu mwamba atapona. Hasa ukizingatia mkataba wake unaisha msimu huu na yeye alishaanza kuzingua aongezewe mpunga mrefu.
Jamaa anakaba kweli kweli lakini sasa akishapta mpira badala ya kuanzisha mashambulizi anapasia adui yaani kwa kifupi kwenye kupiga pasi mkaa jamaa anaongoza pale kwenye timu ya Simba.
Kuna Mkenya anaitwa Akum katupiwa virago Kaizer na anaweza kucheza beki wa kati na kiungo mkabaji kwa vizuri tu sasa huyu Onyango inabidi awe mpole tu akae na viongozi wayasawazishe mapema kabla mambo hayajawa mabaya.
Berkane wanamtaka!Kwa jinsi tetesi za usajili wa Simba zilivyo mitandaoni kama ndio zitakuwa hivyo sidhani kama huyu mwamba atapona. Hasa ukizingatia mkataba wake unaisha msimu huu na yeye alishaanza kuzingua aongezewe mpunga mrefu.
Jamaa anakaba kweli kweli lakini sasa akishapta mpira badala ya kuanzisha mashambulizi anapasia adui yaani kwa kifupi kwenye kupiga pasi mkaa jamaa anaongoza pale kwenye timu ya Simba.
Kuna Mkenya anaitwa Akum katupiwa virago Kaizer na anaweza kucheza beki wa kati na kiungo mkabaji kwa vizuri tu sasa huyu Onyango inabidi awe mpole tu akae na viongozi wayasawazishe mapema kabla mambo hayajawa mabaya.
Kwahiyo anakaba kisha akipata mpira anapasia adui dah!Kwa jinsi tetesi za usajili wa Simba zilivyo mitandaoni kama ndio zitakuwa hivyo sidhani kama huyu mwamba atapona. Hasa ukizingatia mkataba wake unaisha msimu huu na yeye alishaanza kuzingua aongezewe mpunga mrefu.
Jamaa anakaba kweli kweli lakini sasa akishapta mpira badala ya kuanzisha mashambulizi anapasia adui yaani kwa kifupi kwenye kupiga pasi mkaa jamaa anaongoza pale kwenye timu ya Simba.
Kuna Mkenya anaitwa Akum katupiwa virago Kaizer na anaweza kucheza beki wa kati na kiungo mkabaji kwa vizuri tu sasa huyu Onyango inabidi awe mpole tu akae na viongozi wayasawazishe mapema kabla mambo hayajawa mabaya.