Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Huyu Mwanaume mliempata leo hatawachezea tena bali anakuja kukuvalisha bikini na dela hapo hapo Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dera kama lile tulilowavalisha nyie or lile mliovalishwa na lipuli????😂😂😂😂...siku zote unasema hivyohivyo but huwa unaambulia kifiro so maneno kama haya tushayazoea
 
Mmeshaanza kutapatapa tayari


Kila la heri Tout Puissant Mazembe


Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
Naona mmefufuka...baada ya kipigo cha lipuli na sisi baada ya kupiga ile mibasha yenu ya congo mlipotea..sahivi naona mmefufuka tena...nyie watu sijui mnaishije😂😂😂😂..mmekuwa malaya wa kuzishabikia timu za wenzenu..mara leo congo kesho waarabu huku timu lenu linakojolewa na kina lipuli😂
 
Kwa sisi tulio "ndani" tunajua kwanini imekua hivi...ni suala la muda tu!😂😂😂
 
Shadeeya tutapita hapa kweli mtani
Tunamshukuru Mungu njia nyeupe hiyo!!!! Kwa taarifa yenu TP Mazembe hakutaka kabisa kukutana na Simba!!! Kwa wanaojua mpira new comers huwa hatari!!!! Saa hii TP Mazembe wamelowa sana na kukata tamaaa. Haya Simba nyama nyingine hiyooooo, AS Vita watakuwa ni wapambewenu katika harakati za kumtafuna TP Mazembe!!!! Naiona fainali!!!
 
Hatua kubwa sawa, ila siyo uende upigwe mkono, heshima itashuka sana, in bora nyumbani Droo, ugenini walau upigwe moja, hapo unakuwa umetoka kwa heshima. Ila ukipigwa mkono itakuwa dharau sana. Ile consistent itakuwa imepotea na unaporomoka, na taifa linaporomoka wakati tuliisha furahi kupandishwa.
hata tukipigwa kwa tulipofikia ni hatua kubwa sana
 
Hata mimi nilipendelea watupe huyu wydad dah ila ngoja tusubiri.
Huyo TP Mazembe ndo nyama tamu kwa mnyama Simba!!!! Saa hii Simba mate yanatudondoka, tungetamani mechi ingekuwa weekend hii!!!!! Matokeo Dar: Simba 2 TP Mazembe 0, Kwao: TP Mazembe 0 Simba 0. Naiona fainali maana nusu fainali ni njia nyeupe!!. Ila Angalizo, Simba wasiende kwa Mganga ila waitishe maombi kwa Mungu aliye hai!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…