Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Hawa ndio size yetu kwa sasa... anaepata mashaka hajui Simba haijabahatisha kuwa hapo ilipo.
Mazembe hawatishi. Cha msingi ni kujituma .. Umakini.. Umoja na nidhamu.
Simba nguvu 1
Wacha weeee. Saizi yenu ukimaanisha nini Mtani?
 
Back
Top Bottom