Nani anarudi nyuma...tunarudi nyuma kwenda wapi.??..basi tufanye sisi simba tumerudi nyuma nyi yanga mmeenda mbele...nyi mashabiki wa yanga tangu lini mkajua mipango ya simba...tangu hatua ya mwanzo kabisa si mlikuwa mnashabikia wapinzani wetu kuanzia mbabane..nkana na kuendelea mmefika wapi hadi sahivi zaidi ya kupata vidonda vya tumbo huku mnapumuliwa na kina lipuliNaona mnaanza kurudi nyuma taratibu eeeeee. Haya bana Mkuu
Mtani mmeshavurugika. Kuwavuruga sio priority. Mmeshajivuruga.Aiseeee. Naona mnapanga kutuvuruga zaidi.
Naona tunaongea lugha mbili tofauti hapa.Nani anarudi nyuma...tunarudi nyuma kwenda wapi.??..basi tufanye sisi simba tumerudi nyuma nyi yanga mmeenda mbele...nyi mashabiki wa yanga tangu lini mkajua mipango ya simba...tangu hatua ya mwanzo kabisa si mlikuwa mnashabikia wapinzani wetu kuanzia mbabane..nkana na kuendelea mmefika wapi hadi sahivi zaidi ya kupata vidonda vya tumbo huku mnapumuliwa na kina lipuli
Roho mbaya fc....sisi target yetu ilikuwa ni kushiriki hatua ya makundi ambayo tulishafika na tumezidi malengo mpaka sasa...so hatuna cha kupoteza mpaka sasa sababu malengo tushayafikia...
ASANTENI KWA KUSHIRIKIUsiyemtaka kaja! Hii mijamaa ya TP Mazembe kuinyonyoa kazi sana!!
Hapa tunahitaji muujiza! But Simba ni Simba tu, hatuwezi kuwa vyura, tutafia uwanjani!
Simba nguvu moja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Mtapasuka sana kwa hasira mwaka huu. ๐๐๐๐Nani anarudi nyuma...tunarudi nyuma kwenda wapi.??..basi tufanye sisi simba tumerudi nyuma nyi yanga mmeenda mbele...nyi mashabiki wa yanga tangu lini mkajua mipango ya simba...tangu hatua ya mwanzo kabisa si mlikuwa mnashabikia wapinzani wetu kuanzia mbabane..nkana na kuendelea mmefika wapi hadi sahivi zaidi ya kupata vidonda vya tumbo huku mnapumuliwa na kina lipuli
Ok habari ndo hiyo...target yetu sisi ilikuwa ni kufika hatua ya makundi na tulishafika so haya mengine ni ziada kwetu sisi so hatuna cha kupoteza...nyi endeleeni kupumuliwa na kina lipuli hukoNaona tunaongea lugha mbili tofauti hapa.
Hii kauli ndio iliyosababisha nikasema vile.
Kaazi kweyi kweyi.Ok habari ndo hiyo...target yetu sisi ilikuwa ni kufika hatua ya makundi na tulishafika so haya mengine ni ziada kwetu sisi so hatuna cha kupoteza...nyi endeleeni kupumuliwa na kina lipuli huko
Sasa kati ya sisi na nyie yanga nani anapasuka kwa hasira...yaani sisi tunafuzu robo fainali ambayo nauhakika tangu unazaliwa mpaka hapo ulipo hujawai iona yanga inafika iyo hatua nyie mnapumuliwa huko iringa na kina lipuli afu sisi tupasuke kwa hasira...nani wa kupasuka kwa hasira kati ya sisi na nyinyiHahahaaa. Mtapasuka sana kwa hasira mwaka huu. ๐๐๐๐
NA BADO. ๐๐
Kama unayajua haya yote mbona unapanic sasa.Sasa kati ya sisi na nyie yanga nani anapasuka kwa hasira...yaani sisi tunafuzu robo fainali ambayo nauhakika tangu unazaliwa mpaka hapo ulipo hujawai iona yanga inafika iyo hatua nyie mnapumuliwa huko iringa na kina lipuli afu sisi tupasuke kwa hasira...nani wa kupasuka kwa hasira kati ya sisi na nyinyi
Hahaaah kamwene....watu wanachekelea kupumuliwa kimoja huko iringa๐๐๐๐๐Kaazi kweyi kweyi.
Wapi Rage. ๐๐๐๐
Hahaah nilikuwa natoa elimu kwa shabiki la ombaomba fc...kamweneeรฉe๐๐๐๐Kama unayajua haya yote mbona unapanick sasa.
HUU MCHEZO AUHITAJI HASIRA MKUU.
BYE
Wameishia kupata aibuuu๐Wenye wivu mwaka huu watapata taabu saaaaanaaaa!!!!
Mtani naona unanirudisha kwenye huu uzi wakati nilishatoka. ๐๐๐๐
Hahahahaa Mkuu inaelekea yashakukuta,pole sana.Sina ugomvi binafsi mkuu ila nimesema ukweli. 95% ya wanawake wa humu kwa kujiita majina mazuri mazuri na kuweka picha za wanawake wenzao wenye maumbile mazuri hawajambo ila kutana nae sasa, unaweza kulia, shapeless kabisa.
Muda wa lunchMtani naona unanirudisha kwenye huu uzi wakati nilishatoka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooh. Safi sana