Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Kila na kheri timu yangu ya simba. Najua hamta tuangusha. Japo wana yanga mambumbumbu wanatuombea mabaya lakini tunawasamehe maana hawajui watendalo. kwani mafanikio ya simba yana jenga heshima ya nchi kwa kuongeza point zitakazopelekea nchi kuongezewa tim kwenye mashindano hili hawalioni.
 
Simba iwaheshimu Mazembe, ijue kua Mazembe ni timu kubwa isihisi wanawaweza.

Walinde na wafanye zaidi counter.

Kujihisi wanawaweza Al Ahly ndiyo wakala hamsa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…