Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa

Labda hiyo defensive game japo inakuwaga ngumu sababu wengi wanapenda kuiga wanavyocheza wapinzani yaani wakifunguka na wao wanafunguka.
Si mnaonaga nyie mkikutana na sisi huwa hamna kiele ele cha kufunguka kama mnavyo cheza na alliance huwa mnapaki dakika 90 na damage huwa inakuwa ndogo hatuwafungi goli nyingi
 
Si mnaonaga nyie mkikutana na sisi huwa hamna kiele ele cha kufunguka kama mnavyo cheza na alliance huwa mnapaki dakika 90 na damage huwa inakuwa ndogo hatuwafungi goli nyingi
Kabisaa na kama hii round ya pili tulijua kulipaki hasa maana hadi michomo kwa Kabwili ilikuwa michache tofauti na round ya kwanza jinsi mlivyompatisha tabu Kakolanya.
 
Back
Top Bottom