Klabu ya Simba yatakiwa kuheshimu na kuacha kubagua vyombo vya habari

Tafuta pesa usipende mambo ya bure hii dunia imeharibika sana. Kwa wanaume huwa hawana muda na mambo ya bure. Shida ninyi wadada mnapenda bure na mnadhani ni haki yenu.
 
Hiyo aya ya 3 kutoka mwisho hilo neno "wamewahita" kama limetumiwa na muandishi wa habari napendekeza anaswe makofi mawili na teke moja kisha akatazwe kuandika taarifa yoyote.
 
Gsm kanunua waandishi wengi,hata yanga iboronge mnaandika in a positive way,simba mko sahihi safi sana
 
Reactions: Tui
Nimesoma vizuri hiyo habari ila kwa mwandiko huu kwa makosa haya ya kiuandishi, Simba wana haki ya kuwacancel. Kitu kimoja muhimu katika taaluma ya uandishi wa habari ni kuepuka typing errors na makosa mengine ya kimaandishi makosa hayo bora yafanywe na mtu mwingine yeyote ila siyo mwandishi wa habari. Kama wewe ndo mwandishi umeandika kwa mwandiko huo basi tuna safari ndefu sana
 
Nitajie hyo mwana habari Tanzania anayeisifia simba zaidi ya jemedari wachambuzi wote na wana habari Tanzania waliponda pre season ya simba wakasema kubaki ni bora zaidi leo mnalalamika wakati mabaya yote mnayowafanyia simba haijawahi kulalamika endeleeni kupokea bahasha za GSM simba ni brand kubwa Africa mpaka GSM anajua hlo
 
Kumbe mwandishi mmoja tena anayebembeleza kuingia bure? Hata elfu 5 ilikushinda kweli? Aaaa jamaa angu, unajidharirisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…