Klabu ya Simba yathibitisha kukamilisha usajili wa kiungo nyota Nassoro Kapama

Hata Mpole mwenyewe analijua hilo...
 
Kapama huyu aliye cheza mpaka na kina nsajigwa au mwingine
 
Ohoo sisi wenzetu Alhly ,tunasajili level za Alhly, maneno mengi........ okay hongera Kapama, je wana Simba mtamvumilia kama akiwa chini ya kiwango,manake sisi washabiki wabongo hatunaga uvumilivu.

Kama kwaida yetu usajili wanafanya viongozi lawama atapewa kocha, tuna safari ndefu na mpira wetu.
 
Fundi saana huyu mtu, sijui kwanini alikuwa anacheza beki, ni kiraka haswaa, naanza kumuona alikuwa ni kiungo, anapiga mpaka 10 mixer kiungo wa chini..

Kigamboni, kuna vipaji saana, hapo umkute VIDUKA kapiga majimaji nadhani msimu mmoja tu, kuangalia kwangu ndondo koote sijaona fundi kama huyu mtu, ni ana akili ya mpira, kumtizama ni burudani saana,
Kuna TUGA huyu sijui uchawi ninj kwenye ubora wake anafaa kabisa kucheza preme, sijui ndio bahati hana

Na wengine weengi.
 
Wachache sana wenye kuelewa hilo

Klabu ya Simba SC msimu huu umeamua kujitenga na mihemko, inasajili kwa mahitaji.
 
Tumepigwa hapa aisee, Simba sijui kwa nini tunasajili kwa mihemko

Huyu dogo ataenda kusugua benchi pale naona maana hao wa kimataifa ndio watachukua nafasi yake
 
Makolo mlienda fifa kabisa au umesahau?
Kwenda FIFA ni suala ambalo lipo kiseria kwa vile ndo chombo kinachosimamia mpira duniani.

Wajinga ni wale waliotaka kwenda Ikulu kumuona Rais Samia kumpelekea mambo ambayo kwenye nchi anayoiongoza vipo vyombo vya kusimamia hayo.
 
Kwenda FIFA ni suala ambalo lipo kiseria kwa vile ndo chombo kinachosimamia mpira duniani.

Wajinga ni wale waliotaka kwenda Ikulu kumuona Rais Samia kumpelekea mambo ambayo kwenye nchi anayoiongoza vipo vyombo vya kusimamia hayo.
 
Simba inazidi kujiimarisha kwa wachezaji wa uhakika siyo wenzetu wanaowachukua wachezaji walioisha mpk kuwa wabeba mizigo store
Ila Hersi kawafanya kitu mbaya Utopolo hadi huruma,bora angemleta kimya kimya tu lakini zile tambo zake hadi kumtumia kama kifaa chake cha kampeni ndiyo imepelekea watu waingie chimbo hadi kujua kumbe alishaacha kucheza kitambo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…