Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachilia mbali kulalamika kuhusu TFF, lakini Yanga walienda mbali zaidi.Tuna sisitiza Simba isajili, iache mambo ya maskara, Mtaanza kulalamikia Tff bila Sababu kama alivyo lalamika ndugu Mangungu msimu uliopita. Mpira ni uwekezaji Sasa nyie endeleeni na kuchezea shilingi chooni.
Kamuulize Manula Alifanywa Nn Pale Kwa Mkapa Na Mzee Wa Kutetema Akiwa Kwenye Uzi Wa DRC.Mbona wa kutetema naye hatujaona akiitwa timu ya Taifa naye mbovu? Maana anasifiwa ni mchezaji hatari
Yule wa kutaka kuitwa mbwa eh? Mimi nimeshamwita tayari maana msimu ujao mnyama anabeba ndoo zakeKuna comment ya member mmoja nimeiscreenshot, naitunza!!
Lini hiyo na foreigners gani zaidi ya Akpan?Ngoja itakapofika muda wa kuwatambulisha foreigners ndio wengi wataanza kuelewa
Wakati DRC inacheza na Stars kwa Mkapa ulikuwa kijijini kwenu Mbinde?Mbona wa kutetema naye hatujaona akiitwa timu ya Taifa naye mbovu? Maana anasifiwa ni mchezaji hatari
Hahaha safari hii Mwamedi kawaweza,majivuno yote kwinshnei.Haya ni manyunyu tu mvua yenyewe ya kutosha inakuja yaani.
Yakusubiri foreigners watakapotambulishwa sio kana kwamba Akpan ni Mdigo wa Kwedukwazu.Kuna comment ya member mmoja nimeiscreenshot, naitunza!!
Unawaza kama mimAisee Mo atakua anataka kusepa.
Labda ndoo za sabuni ya Unga za MO.Yule wa kutaka kuitwa mbwa eh? Mimi nimeshamwita tayari maana msimu ujao mnyama anabeba ndoo zake
AkpanNgoja itakapofika muda wa kuwatambulisha foreigners ndio wengi wataanza kuelewa
Makolo mlienda fifa kabisa au umesahau?Wachilia mbali kulalamika kuhusu TFF, lakini Yanga walienda mbali zaidi.
Kubwa ni lile la kutaka kwenda Ikulu kumuona Rais Samia kwa madai ya kuonewa...!
Kwa kweli hayupo mchezaji anafunga kufunga kagoli kamoja tu kazi imeishaMayele alimtoboa Juma kaseja pale Taifa akiwa anacheza timu ya Taifa ya Kongo. Ukiacha Samata na Msuva hakuna forward wa kibongo mwenye Kariba ya Mayele Kwa Sasa...
Yaani hata Simba lia lia mmebaki na huzuni haswa, hebu mnavyojibu Kwa unyonge, mmekosa kabisa confidenceMeans we need more
Ameshaitwa sana tu wewe huna kumbukumbu na hufuatilii kuna game alishawahi kutufungaMbona wa kutetema naye hatujaona akiitwa timu ya Taifa naye mbovu? Maana anasifiwa ni mchezaji hatari
Mosses phili ni mmalawi na akpan ni mnigeria aishiye tangaKwani Moses Philli na Victor Akpan ni waTanzania au sielewi maana ya foreigner?
Simba Wakimataifa tuleteeni Haruna Niyonzima yule ni kifaa hasa...Kesho tena ni KICHUYA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
"unyonye"Yaani hata Simba lia lia mmebaki na huzuni haswa, hebu mnavyojibu Kwa unyonye, mmekosa kabisa confidence
Simba imejua kuwanyima Raha mara hii