Wachezaji wa ndani wana wajibu mkubwa wa kuprove wrong hawa mashabiki maandazi. Kila zikisemwa tetesi za kina Habibu, Kichuya, Mhilu, Kapama utaona mashabiki mandazi wakilaumu. Ukiwaukiza kwa hiyo asajiliwe nani,hawana jibu wao wanataka kusikia wachezaji toka nje,wanataka kusikia Ki Aziz, Okrah, Akpan, Manzok nk
Hatimaye mmepewa fursa ya kuonekana. You have to show your fucking talent and make them mute and puzzled.
Imagine mchezaji kafunga goli 6 kwenye ligi na bado mashabiki maandazi hawamtaki. Hawafikirii akipewa nafasi timu nzuri anaweza kufanya poa