Klabu ya Simba yathibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Habibu Kyombo

Stupid kabisa! ndio suprise tulikuwa tunaisubiria hii?
 
Pale simba mmepata mchezaji, Mamelody kuna kitu walikiona kwake ndio maana wakamchukua japo hakucheza, hata Miquissone hakucheza Mamelody lakini walichokiona kwake alikuja kukionesha simba.
 
Wanaoweza kuisimamisha nchi ni wageni tu ?
 
Pale simba mmepata mchezaji, Mamelody kuna kitu walikiona kwake ndio maana wakamchukua japo hakucheza, hata Miquissone hakucheza Mamelody lakini walichokiona kwake alikuja kukionesha simba.
Wacha ligi ianze kijana aanze kuwaonesha anaiweza kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…