NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
ISHU SYO WAZAWA SINGIDA SAIVI INATITIA KWENYE TOPE.Kwani hakuna wazawa! Huyo mbrazil sioni anachokifanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ISHU SYO WAZAWA SINGIDA SAIVI INATITIA KWENYE TOPE.Kwani hakuna wazawa! Huyo mbrazil sioni anachokifanya
Hahhaaaa, Na watabadilisha jina la timu mpaka basi 😃ISHU SYO WAZAWA SINGIDA SAIVI INATITIA KWENYE TOPE.
Ukijibiwa nitagWewe, kwani huyu si alienda Ihefu au..?
karibu mwananchiKupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii Bruno amesema kumekuwa na uvunjaji wa mkataba kwa upande mmoja kutoka kwa klabu hali inayopelekea uhusiano wa nyota huyo na wakulima hao wa Alizeti kumalizika.
“Uamuzi huu haukuwa rahisi, lakini ulifanyika kwa nia ya kuhakikisha tunaweza kuendelea mbele kwa njia ambayo ni chanya na yenye ujenzi kwa wote.”— Bruno Gomes
“Ingawa mkataba wetu umefikia kikomo, jua kwamba upendo na heshima niliyo nayo kwenu itabaki milele. Kamwe sitasahau athari mliyonayo kwangu kama mchezaji na kama mtu.”—BrunoView attachment 2924545
MwiguluTimu za Singida huwa hazidumu, tatizo ni nini.?