The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Binafsi nimechunguza sana hizi picha zinanitia mashaka.Kuna uzi nakutagHata mimi nimeshangaa! Ukiona hivyo kalilia yeye kuja Yanga usikute hata mshahara hatolipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nimechunguza sana hizi picha zinanitia mashaka.Kuna uzi nakutagHata mimi nimeshangaa! Ukiona hivyo kalilia yeye kuja Yanga usikute hata mshahara hatolipwa
Makapuku mna shida sana. Hampati maumivu ya kuongezewa tozo kimyakimya kwenye luku ila mnapata raha ya chama kuondoka simba. Ama kweli kapuku ni kapuku tu, na serikali, simba na yanga wanatumia ukapuku wenu wa hivi kuwapumbaza muendelee kua makapuku zaidi na wao waendelee kua matajiri zaidi. Na wewe nenda kaprinti picha ya chama uendee kuzunguka barabarani.Uwa nafurahi sana swahiba mikia wakiwa kwenye maumivu [emoji2]
Bado hujasema yan mpaka useme,huku maumivu ya tozo kule maumivu ya chamaMakapuku mna shida sana. Hampati maumivu ya kuongezewa tozo kimyakimya kwenye luku ila mnapata raha ya chama kuondoka simba. Ama kweli kapuku ni kapuku tu, na serikali, simba na yanga wanatumia ukapuku wenu wa hivi kuwapumbaza muendelee kua makapuku zaidi na wao waendelee kua matajiri zaidi. Na wewe nenda kaprinti picha ya chama uendee kuzunguka barabarani.
Mnajiona mlivyo makapuku, kwamba chama atawasahaulisha maumivu ya tozo? [emoji23] Kwamba chama anayelipwa milioni 50 kwa mwezi atakuwaza na kukulipia wewe kapuku tozo za serikaliBado hujasema yan mpaka useme,huku maumivu ya tozo kule maumivu ya chama
Yote mema tuKlabu ya Yanga imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji wa wao leo Jumatatu Julai 1, 2024.
Chama ametangazwa kuwa mchezaji mpya Jangwa baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, ambayo alijiunga nayo akitokea RS Berkane Januari 2022.
View attachment 3030257
Yote ni majibuTutafanyaje ila viongozi wetu ndio wameamua, sijajua huu usajili ni wakiufundi au kumkomoa mtani.
Kivip?.kwasababu mpira ni ajira kama zingine.Chama kacheza simba kamaliza mkataba boss mwingine amejitokeza kumpa kazi aache kufanya jazi kwasababu ya maneno ya watu.Ata kama mashabiki wa simba tumeumia tumuache chama afanye kazi yake na maisha yake kwasababu hatumdai chochote.Nilichogundua hawa wachezaji wa kigeni wakishachoka huwa wanakua wajanja. Kazi yao ni kuhama simba kwenda yanga and vice versa ili wachote hela chap chap waende kupumzika kwao kwa kutumia ujinga wa timu hizi mbili.
Mfano mzuri bwana mandevu Morrison
Wengi wetu tunajifariji tu ila imetuuma.Na tunajua hadi tuje kukaa sawa hivi karibuni.mbona ukusema mapema mkuu?
Kwani mna ugomvi naye?.Mbona maneno ni mengi sana.Tulikua naye hatukumshawishi kuongeza mkataba kapata majani mabichi kwingine hatuna haja yakumuona hafai wakati alikua kwetu siku chache zilizopita.Viongozi wa simba mmefanya maamuzi ya kiume. Hauwezi kila siku kukaa tunamuimba mtu mmoja. Chamaaa chamaa. Brother simba ni kubwa kuliko chama. Walikuja wakaondoka na yeye kaja ataondoka simba itabakia. Safi sana kwa hilo.
Sasa unataka mashabiki wasifurahishwe?Usajili wa kuwakomoa Simba na kuwafurahisha mashabiki.
Hapana, kufurahisha mashabiki ni jukumu namba moja la klabu ya mpira.Sasa unataka mashabiki wasifurahishwe?
Mchezaji gani kwenye timu anaperform kama ronaldoNajua makolo watamponda sana chama kwa sasa na kumpa Kila aina ya shutuma na matusi lakini chama ataendelea kuwa ni chama yule yule, kitu ambacho mashabiki wa Simba awakijui ni kwamba Mchezaji anasajiliwa kwa malengo fulani,
Lengo la kwanza ni kuisaidia timu kufikia malengo yake aidha kubeba makombe ama kufikia hatua fulani kwenye mashindano husika,
Pili anasajiliwa mchezaji kwa malengo ya kibiashara ambapo unaweza kishangaa timu inamsajili mchezaji maarufu lakini uwezo wake ukiwa umeshuka iyo inakuwa kasajiliwa kwa malengo ya kibiashara, kukuza brand ya timu, kuuza jezi na kuwavutia mashabiki kujaa uwanjani,
Kwa maana iyo nataka kuwajibu wanaobeza usajili wa chama kwenda yanga watakuwa awauelewi mpira na strategy zake,
Usajili wa chama unakwenda kuiingizia yanga mapato ya kutosha kupitia mauzo ya jezi yake, mapato ya viingilio kwenye mechi na kuisaidia timu kufikia malengo yake, ndio maana kapewa mkataba wa mwaka mmoja ukiwa na kipengele Cha kuongezewa endapo atafanya vizuri,
Yanga sio wajinga wameangalia vitu ivyo vyote kwa mpigo na wameona watafaidika nae zaidi ndani ya msimu mmoja, Cristiano Ronaldo akusajiliwa kule uarabuni kwa sababu ya kiwango chake kuwa juu Bali alisajiliwa kule kwa sababu za kibiashara na klabu iliyomsajili ilifanikiwa katikati ilo,
Ivyo basi mashabiki wa Simba wanateswa na wivu tu Wala sio ubora wa chama!
Tajiri unateseka ukiwa wapi?Mnajiona mlivyo makapuku, kwamba chama atawasahaulisha maumivu ya tozo? [emoji23] Kwamba chama anayelipwa milioni 50 kwa mwezi atakuwaza na kukulipia wewe kapuku tozo za serikali
Kila rakher kwake ✊Klabu ya Yanga imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji wa wao leo Jumatatu Julai 1, 2024.
Chama ametangazwa kuwa mchezaji mpya Jangwa baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, ambayo alijiunga nayo akitokea RS Berkane Januari 2022.
View attachment 3030257
Wamesajili boda boda....amevaa koti la mtumba 😀 😀Sasa chama ndio mmemtambulisha kwa picha za Infinix ? Ila Yanga.Waongo sanaa.