SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kama Simba ingekuwa na matumizi naye isingeshindwa kumbakisha kwa dau lolote. Mazuri aliyotufanyia tunamshukuru,na kwa mabaya aliyotufanyia karma itaamua. Aende salama.Sasa hapo ime prove vipi wakati mkataba umeisha na mmembembeleza kwa ela ndogo akaikataa kafuata maslahi sehemu nyingine.