cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu uongo, hapo mna furaha teleee. WoiiiiihSimtaki hata kumsikia! Mmemshindwa nyie sisi tutamuweza wapi[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu uongo, hapo mna furaha teleee. WoiiiiihSimtaki hata kumsikia! Mmemshindwa nyie sisi tutamuweza wapi[emoji23]
Kutokua shabiki wa chama haiondoi ukweli kua Chama ni mchezaji mzuriSijui nimimi pekee ndiyo sijafurahia, huu usajili hapana dah! Hizo hela tungetafuta mchezaji mzuri zaidi wa nje.
Eng hapo umefanya kuwakomoa paka wakubwa. Niseme wazi tu, mimi siyo shabiki wa Chama kama ilivyokuwa kwa kichaa midevu.
Basi fungeni midomo yenu kelele za Nini Kama Hana deni kwenu?Chama tumeshamtumia vya kutosha hana deni kwetu
Chama anaenda kukushangaza utajiuliza huyu ndio yule alikua anachezea Simba au mwingine?Sijakuelewa una maanisha nini
Kama Mkude na Okra walivyotushangaza siyo!!Chama anaenda kukushangaza utajiuliza huyu ndio yule alikua anachezea Simba au mwingine?
Tanzania tunao watu wengi sana wa aina hiyo wanao jizima data hata tuliowapa dhamanaYule mwamba aliyesema atajinyonga vipi mna habari zake? Isije ikawa tushampoteza mtu.
msigwa mchungaj alisema akijiunga sisiyemu tuchome nyumba yake,Tanzania tunao watu wengi sana wa aina hiyo wanao jizima data hata tuliowapa dhamana
Rejea wizara ya Afya watanzania 4 kati ya hao mmoja ana tatizo la afya ya akili yaani hapo ulipo kama mko wanne mmoja wenu fuvu lake Iko shida, (barijo)msigwa mchungaj alisema akijiunga sisiyemu tuchome nyumba yake,
Sasa hapo ime prove vipi wakati mkataba umeisha na mmembembeleza kwa ela ndogo akaikataa kafuata maslahi sehemu nyingine.Hii taarifa ina prove kwamba HAKUNA MCHEZAJI MKUBWA YEYOTE KULIKO SIMBA. INGEKUWA UPANDE WA PILI SASA....
Yanga bwana , utashangaa Chama wanaenda kumuweka bench Tu ilimradi ameshatoka Simba. Kama walivyofanya kwa Morrison .Klabu ya Yanga imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji wa wao leo Jumatatu Julai 1, 2024.
Chama ametangazwa kuwa mchezaji mpya Jangwa baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, ambayo alijiunga nayo akitokea RS Berkane Januari 2022.
View attachment 3030257
😅😅 apia Mtani.Hatimaye wimbo wenu umetimia ila Chama hatoifunga Simba misimu yote atakayokuwa huko utopoloni
Sawa mganga tambitambiHatimaye wimbo wenu umetimia ila Chama hatoifunga Simba misimu yote atakayokuwa huko utopoloni
Mkuu uwo mpira wa ulaya unao ufwatilia ni upi ambao mahasimu hawauziani wachezaji ..kwamba haujawai kuona mchezaji katoka Barcelona kaenda Madrid au katoka arsenal kaenda Man u au ac Milan kwenda inter ni ulaya ip unayo isemaMpira wa bongo bwana 🤣🤣🤣
Washkaji hua wanashangaa kwanini hua inakua ngumu kwangu kuufuatilia.
Mahasimu wa jadi wanauziana wachezaji? 🤣🤣🤣 Hii ipo Tz tu. Na bado huyo mchezaji atasifiwa alipo na alipotoka. Hii ipo mpira wa Tz tu.
ChamaaaaaaaaKutokua shabiki wa chama haiondoi ukweli kua Chama ni mchezaji mzuri
Mgaagaa na UpwaHatimaye wimbo wenu umetimia ila Chama hatoifunga Simba misimu yote atakayokuwa huko utopoloni
sasa kwani mpira ni uadui mpk mahasimu wa jadi wasichukuliane wachezaji...?? mbona kama fikra zako ni ndogo hivi mkuu ..? 😂Mpira wa bongo bwana 🤣🤣🤣
Washkaji hua wanashangaa kwanini hua inakua ngumu kwangu kuufuatilia.
Mahasimu wa jadi wanauziana wachezaji? 🤣🤣🤣 Hii ipo Tz tu. Na bado huyo mchezaji atasifiwa alipo na alipotoka. Hii ipo mpira wa Tz tu.