Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usajili-mashabiki-wa-yanga-sc-wachoma-jezi-ya-niyonzima-video-06-2017/ Kuondoka kwa mchezaji Haruna Niyonzima ndani ya klabu ya Yanga SC, kumeonyesha kuwaumiza mashabiki wa klabu hiyo ambapo moja kati ya kundi la mashabiki wameamua kuchoma jezi ya mchezaji huyo.Klabu ya Yanga imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji wa wao leo Jumatatu Julai 1, 2024.
Chama ametangazwa kuwa mchezaji mpya Jangwa baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, ambayo alijiunga nayo akitokea RS Berkane Januari 2022.
View attachment 3030257
Labda subiri dabi atupie Hattrick ndio mtaelewaKama Mkude na Okra walivyotushangaza siyo!!
Itajulikana uwanjani mkiwa mnakandamizwa 5 zingineKwa hiyo ile ishu ya Chama na Pacome nani mkali bado mtaendelea kusema Pacome?
Swali fikirishi je alizaliwa kuichezea Simba tuSasa hapo ime prove vipi wakati mkataba umeisha na mmembembeleza kwa ela ndogo akaikataa kafuata maslahi sehemu nyingine.
Wachezaji wote hao ni wa yanga tutachagua wenyewe,vipi kwenu kibu na jobe nani mkali?Kwa hiyo ile ishu ya Chama na Pacome nani mkali bado mtaendelea kusema Pacome?
Una mwanasheria?Sawa mganga tambitambi
Ulikua unalea😅😅 apia Mtani.
Akiwa 🐸fc ni pro akiwa 🦁 ni garashaMaoni ya kitoto sana haya, kama ameweza kuja Yanga kuwafunga ndio ashindwe?
Yule ni pro, sio wanazi wenzetu akina Ngasa na Kaseja.
Pesa iko mingi mkuu acha wajichotee mihela hapa bongo. Tanzania kuna pesa hadi zinamwagika.Nilichogundua hawa wachezaji wa kigeni wakishachoka huwa wanakua wajanja. Kazi yao ni kuhama simba kwenda yanga and vice versa ili wachote hela chap chap waende kupumzika kwao kwa kutumia ujinga wa timu hizi mbili.
Mfano mzuri bwana mandevu Morrison
Itakua bahati mbayaComrade, acha kujipachika majukumu yasiyo kuhusu! Vipi ikatokea akaifunga?
Akili za kipumbavu hizi. Ushabiki.mwingine wa maandazi kweli. Simba inaumia kwa facts zipi? Mchezaji amekaa simba miaka 7..bado unataka uendelee kumshikilia huo ni ubinafsi, hivi mnajua mpira nyie au ushabiki maandazi..grow the fuckk up!Makolo mwezi wameuanza kwa maumivu, hahahah
Alitufunga kwenye mechi ya FA ya 4-1Kwani aliwahi kuifunga Yanga..?
Unaweza kutuambia hela ndogo ni shilingi ngapi aliyotakiwa kupewa , na yanga waliyompa ni shilingi ngapiSasa hapo ime prove vipi wakati mkataba umeisha na mmembembeleza kwa ela ndogo akaikataa kafuata maslahi sehemu nyingine.
Mimi katika vyote nasubiri wamuondoe huyu mwehu. Akiongea hua naskia hasira sana.SIMBA badili msemaji wa KLABU , hapo hamna mtu
Lina raha sana muhimu usiwe na hasira soka la TZ halitaki hasira kabisaMara nyingi huwa ni baada ya mkataba kuisha ndo hili hutokea na ni moja ya mambo yanaoufanya mpira wetu ukue kwa kasi.
Sasa hivi kila mtu anasubiri kuona chama akiwa na jezi ya yanga na Simba bila Chama itakavyofanana.
Sifatilii mpira wa nje kama ninavyofatilia soka la Tanzania. Lina raha mno.