Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia

Kwa hiyo ile ishu ya Chama na Pacome nani mkali bado mtaendelea kusema Pacome?
 
Klabu ya Yanga imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji wa wao leo Jumatatu Julai 1, 2024.

Chama ametangazwa kuwa mchezaji mpya Jangwa baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, ambayo alijiunga nayo akitokea RS Berkane Januari 2022.

View attachment 3030257
Usajili-mashabiki-wa-yanga-sc-wachoma-jezi-ya-niyonzima-video-06-2017/ Kuondoka kwa mchezaji Haruna Niyonzima ndani ya klabu ya Yanga SC, kumeonyesha kuwaumiza mashabiki wa klabu hiyo ambapo moja kati ya kundi la mashabiki wameamua kuchoma jezi ya mchezaji huyo.
 
Nilichogundua hawa wachezaji wa kigeni wakishachoka huwa wanakua wajanja. Kazi yao ni kuhama simba kwenda yanga and vice versa ili wachote hela chap chap waende kupumzika kwao kwa kutumia ujinga wa timu hizi mbili.

Mfano mzuri bwana mandevu Morrison
Pesa iko mingi mkuu acha wajichotee mihela hapa bongo. Tanzania kuna pesa hadi zinamwagika.
 
Makolo mwezi wameuanza kwa maumivu, hahahah
Akili za kipumbavu hizi. Ushabiki.mwingine wa maandazi kweli. Simba inaumia kwa facts zipi? Mchezaji amekaa simba miaka 7..bado unataka uendelee kumshikilia huo ni ubinafsi, hivi mnajua mpira nyie au ushabiki maandazi..grow the fuckk up!
 
Sasa hapo ime prove vipi wakati mkataba umeisha na mmembembeleza kwa ela ndogo akaikataa kafuata maslahi sehemu nyingine.
Unaweza kutuambia hela ndogo ni shilingi ngapi aliyotakiwa kupewa , na yanga waliyompa ni shilingi ngapi
 
Mara nyingi huwa ni baada ya mkataba kuisha ndo hili hutokea na ni moja ya mambo yanaoufanya mpira wetu ukue kwa kasi.

Sasa hivi kila mtu anasubiri kuona chama akiwa na jezi ya yanga na Simba bila Chama itakavyofanana.

Sifatilii mpira wa nje kama ninavyofatilia soka la Tanzania. Lina raha mno.
Lina raha sana muhimu usiwe na hasira soka la TZ halitaki hasira kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom