mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sijakuelewa una maanisha niniWhat you about to see you will experience your own eyes to be greatly appreciated for hitting your own insecurity
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa una maanisha niniWhat you about to see you will experience your own eyes to be greatly appreciated for hitting your own insecurity
Umesahau goli za nne mojaKwani aliwahi kuifunga Yanga..?
Chama tumeshamtumia vya kutosha hana deni kwetuUveterani utaonekana uwanjani ayo mengine ni maneno ya wakosaji AYANA maana yoyote
Endelea kuotaHatimaye wimbo wenu umetimia ila Chama hatoifunga Simba misimu yote atakayokuwa huko utopoloni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua natafuta comment yako, na nisingekuona ningekuita hapa.Tutafanyaje ila viongozi wetu ndio wameamua, sijajua huu usajili ni wakiufundi au kumkomoa mtani.
Maoni ya kitoto sana haya, kama ameweza kuja Yanga kuwafunga ndio ashindwe?Hatimaye wimbo wenu umetimia ila Chama hatoifunga Simba misimu yote atakayokuwa huko utopoloni
Ni kweli kaka, Wananchi hatukuwa na nia ya kumuona huyu jamaa kwenye timu yetu. Nafikiri ni kumkomoa mtani tu. Au pengine kuna star mmoja anaondoka pale Yanga, ila hata kama yupo anayeondoka, ndo tumchukue Chama?Tutafanyaje ila viongozi wetu ndio wameamua, sijajua huu usajili ni wakiufundi au kumkomoa mtani.
Huo usajili hata mimi sijaufurahia hata kidogo ndio maana nikasema ni mkosiSijui nimimi pekee ndiyo sijafurahia, huu usajili hapana dah! Hizo hela tungetafuta mchezaji mzuri zaidi wa nje.
Eng hapo umefanya kuwakomoa paka wakubwa. Niseme wazi tu, mimi siyo shabiki wa Chama kama ilivyokuwa kwa kichaa midevu.
Mwakani mnaweza kuchukua ubingwa, tumeleta mkosi wa Simba kuja YangaKila la kheri kwake Mwamba wa Lusaka ktk maisha yake mapya ya soka nje ya Simba!!
Eng sijui huwa anamkomesha nani pale msimbazi. Kwakuwa pesa ipo, anafanya kufuru tu.Huo usajili hata mimi sijaufurahia hata kidogo ndio maana nikasema ni mkosi
Sipendi tabia ya kuchukua wachezaji wa Simba napenda new comers kama Guede
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko huyo Chama hamumtakiii?Mwakani mnaweza kuchukua ubingwa, tumeleta mkosi wa Simba kuja Yanga
Hii inaonesha hata mpira wa nje hufuatilii,van persi alienda man toka arsenal,figo alitoka barce akaenda Madrid,kadhalika Ronaldo toka Barcelona to Madrid,cample toka spurs to arsenalMpira wa bongo bwana 🤣🤣🤣
Washkaji hua wanashangaa kwanini hua inakua ngumu kwangu kuufuatilia.
Mahasimu wa jadi wanauziana wachezaji? 🤣🤣🤣 Hii ipo Tz tu. Na bado huyo mchezaji atasifiwa alipo na alipotoka. Hii ipo mpira wa Tz tu.
inatosha ametumika sana wacha akamalizie kusuaza rungu kwa jirani naona wanamlilia sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko huyo Chama hamumtakiii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiiinatosha ametumika sana wacha akamalizie kusuaza rungu kwa jirani naona wanamlilia sana