Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakaa hata benchi,, muhimu simba wakose furahaUsajili wa kuwakomoa Simba na kuwafurahisha mashabiki.
Na kuwachonganisha na washabiki wao. Yani mpaka Simba waje wakae sawa itachukua mudaatakaa hata benchi,, muhimu simba wakose furaha
Mimi sijawahi kuzipenda team za mashetani, hahakumbe nawewe ni mwananchi
wanayanga tushapata cha kuongelea vijiweni tayar,, yaani kifua mbeleNa kuwachonganisha na washabiki wao. Yani mpaka Simna waje wakae sawa itachukua muda
🧡💚💛Mimi sijawahi kuzipenda team za mashetani, haha
Ila chama ni mchezaji mzuri na hii ndio ilikuwa ndoto yao ya muda mrefu yakutaka aje YangaTutafanyaje ila viongozi wetu ndio wameamua, sijajua huu usajili ni wakiufundi au kumkomoa mtani.
Kwanini asiifunge? Inawezekana kabisa kutufunga. Kuna mambo si ya kujiapiza.Hatimaye wimbo wenu umetimia ila Chama hatoifunga Simba misimu yote atakayokuwa huko utopoloni
Hawajauziana wachezaji bali mkataba wa Chama umeishaMpira wa bongo bwana 🤣🤣🤣
Washkaji hua wanashangaa kwanini hua inakua ngumu kwangu kuufuatilia.
Mahasimu wa jadi wanauziana wachezaji? 🤣🤣🤣 Hii ipo Tz tu. Na bado huyo mchezaji atasifiwa alipo na alipotoka. Hii ipo mpira wa Tz tu.
Mimi ni simba lakini nimecheka hahaaa!Kolo unagugumia maumivu, haha
Mpira wa bongo bwana 🤣🤣🤣
Washkaji hua wanashangaa kwanini hua inakua ngumu kwangu kuufuatilia.
Mahasimu wa jadi wanauziana wachezaji? 🤣🤣🤣 Hii ipo Tz tu. Na bado huyo mchezaji atasifiwa alipo na alipotoka. Hii ipo mpira wa Tz tu.
mbona ukusema mapema mkuu?Tena nimefurahi sana Kama kweli alikuwa anatubana bana tu.hii ni habari njema kwangu
Kweli wewe mjinga!Keshachoka huyo.
Veteran fc