Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia

Haa hata sukari na majini nao wanaweza kurudi nyoo sijapenda
1719684349154.jpg
 
Nilichogundua hawa wachezaji wa kigeni wakishachoka huwa wanakua wajanja. Kazi yao ni kuhama simba kwenda yanga and vice versa ili wachote hela chap chap waende kupumzika kwao kwa kutumia ujinga wa timu hizi mbili.

Mfano mzuri bwana mandevu Morrison
Morrison alikuwa mchezaji mzuri na wala hakua amechoka sema tu ana mambo mengi.
 
Viongozi wa simba mmefanya maamuzi ya kiume. Hauwezi kila siku kukaa tunamuimba mtu mmoja. Chamaaa chamaa. Brother simba ni kubwa kuliko chama. Walikuja wakaondoka na yeye kaja ataondoka simba itabakia. Safi sana kwa hilo.
 
Najua makolo watamponda sana chama kwa sasa na kumpa Kila aina ya shutuma na matusi lakini chama ataendelea kuwa ni chama yule yule, kitu ambacho mashabiki wa Simba awakijui ni kwamba Mchezaji anasajiliwa kwa malengo fulani,
Lengo la kwanza ni kuisaidia timu kufikia malengo yake aidha kubeba makombe ama kufikia hatua fulani kwenye mashindano husika,
Pili anasajiliwa mchezaji kwa malengo ya kibiashara ambapo unaweza kishangaa timu inamsajili mchezaji maarufu lakini uwezo wake ukiwa umeshuka iyo inakuwa kasajiliwa kwa malengo ya kibiashara, kukuza brand ya timu, kuuza jezi na kuwavutia mashabiki kujaa uwanjani,
Kwa maana iyo nataka kuwajibu wanaobeza usajili wa chama kwenda yanga watakuwa awauelewi mpira na strategy zake,
Usajili wa chama unakwenda kuiingizia yanga mapato ya kutosha kupitia mauzo ya jezi yake, mapato ya viingilio kwenye mechi na kuisaidia timu kufikia malengo yake, ndio maana kapewa mkataba wa mwaka mmoja ukiwa na kipengele Cha kuongezewa endapo atafanya vizuri,
Yanga sio wajinga wameangalia vitu ivyo vyote kwa mpigo na wameona watafaidika nae zaidi ndani ya msimu mmoja, Cristiano Ronaldo akusajiliwa kule uarabuni kwa sababu ya kiwango chake kuwa juu Bali alisajiliwa kule kwa sababu za kibiashara na klabu iliyomsajili ilifanikiwa katikati ilo,
Ivyo basi mashabiki wa Simba wanateswa na wivu tu Wala sio ubora wa chama!
 
Mbona mlikuwa mnamngangania?
Ni ushamba tu wa viongozi. Ila kuna wakati unatakiwa ufanye maamuzi ya kiume.mwache aende rejea mbape na psg. Kuna maisha baada ya chama kuondoka. Nimefurahi sanaa na hii ni habari njema kwangu leo asubuhi. Mimi kwenye maisha yangu uwa spending maringo. Ndo maana hata inonga alipoanza kuzingua nikatamani aondoke. Maana atakuja kutusumbua
 
Viongozi wa simba mmefanya maamuzi ya kiume. Hauwezi kila siku kukaa tunamuimba mtu mmoja. Chamaaa chamaa. Brother simba ni kubwa kuliko chama. Walikuja wakaondoka na yeye kaja ataondoka simba itabakia. Safi sana kwa hilo.
What you about to see you will experience your own eyes to be greatly appreciated for hitting your own insecurity
 
GRQ9z63W8AAaFOX.jpeg

No chama
No ntibazokiza
What a nice year to be alive, angeondoka na kibu basi moyo wangu ungekua na amani tele
 
Najua makolo watamponda sana chama kwa sasa na kumpa Kila aina ya shutuma na matusi lakini chama ataendelea kuwa ni chama yule yule, kitu ambacho mashabiki wa Simba awakijui ni kwamba Mchezaji anasajiliwa kwa malengo fulani,
Lengo la kwanza ni kuisaidia timu kufikia malengo yake aidha kubeba makombe ama kufikia hatua fulani kwenye mashindano husika,
Pili anasajiliwa mchezaji kwa malengo ya kibiashara ambapo unaweza kishangaa timu inamsajili mchezaji maarufu lakini uwezo wake ukiwa umeshuka iyo inakuwa kasajiliwa kwa malengo ya kibiashara, kukuza brand ya timu, kuuza jezi na kuwavutia mashabiki kujaa uwanjani,
Kwa maana iyo nataka kuwajibu wanaobeza usajili wa chama kwenda yanga watakuwa awauelewi mpira na strategy zake,
Usajili wa chama unakwenda kuiingizia yanga mapato ya kutosha kupitia mauzo ya jezi yake, mapato ya viingilio kwenye mechi na kuisaidia timu kufikia malengo yake, ndio maana kapewa mkataba wa mwaka mmoja ukiwa na kipengele Cha kuongezewa endapo atafanya vizuri,
Yanga sio wajinga wameangalia vitu ivyo vyote kwa mpigo na wameona watafaidika nae zaidi ndani ya msimu mmoja, Cristiano Ronaldo akusajiliwa kule uarabuni kwa sababu ya kiwango chake kuwa juu Bali alisajiliwa kule kwa sababu za kibiashara na klabu iliyomsajili ilifanikiwa katikati ilo,
Ivyo basi mashabiki wa Simba wanateswa na wivu tu Wala sio ubora wa chama!
Hatumpondi ila ndo ukweli huo. Chama maji ya jioni. Veteran fc. Mnatakiwa kwanza kuukubali huo ukweli
 
Klabu ya Yanga imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji wa wao leo Jumatatu Julai 1, 2024.

Chama ametangazwa kuwa mchezaji mpya Jangwa baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, ambayo alijiunga nayo akitokea RS Berkane Januari 2022.

View attachment 3030257
hana jipya tena huyu he is used to the extend ni kama msigwa tu kujiunga ccm akidhani chadema itakufa,yaani msimu ujao mnyama atakuwa wa moto sana
 
Back
Top Bottom