Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

Yanga ina kocha mwenye balaa kubwa na fomesheni ya hatari sana hata kama hujui kucheza vizuri na hujafunga goli hata moja msimu mzima kama Boko, Mugalu na Kagere ila ukipata training ya Nabi wiki tu balaa lako si la nchi hii. Kambole atakuja kuwapasua Mikia FC aka Makolo!!

Prof Nabi hata ukimpa "Ubelgiji FC" ya ndondo wiki moja tu ikija Simba wanaipasua! !

Fomesheni ya Yanga dhidi ya Mikia kule CCM Kirumba ni kali kuliko fomesheni za Real Madrid!

Simba haitotoboa hadi imuombe msamaha Hajji Manara kuna kitu we Young Africa fans do not know mmemfanyia Hajji na hamkisemi halafu jamaa ana nongwa kinoma na ana upepo flani , mtakoma!!
Aisee mbona hilo balaa hatujaliona kwa Makambo mkuu
 
Ndio maana George Mpole ni kama vile watu hawamuoni, walishajifunza kwa Salamba na Ditram Nchimbi.
Awa washambuliaji wa kitanzania sio wa kusajiliwa na vilabu vikubwa vyenye matumaini ya kucheza michuano ya kimataifa, Ni wachezaji wasiokuwa na consistency ata kidogo, uyo george mpole anaeimbwa kussjiliwa na simba mpeni msimu mmoja tu unaofuata mtakuja kuniambia alikopotelea, Walikuwepo wakina marcel kaheza, adam salamba, krispin ngushi, abdulhamn mussa, charles ilamfya, walipotelea wapi? Ndio maana enzi za yusuph manji yanga ilisajili washambuliaji wote wa kigeni na walikuwa wanakiwasha hasa, Amis tambwe, donald ngoma, obrey chirwa walikuwa ni wa moto balaa
 
Kwahuyo sahau mkuu, mswahili ni mswahili tu. Binafsi nilivyoona kaletwa Yanga nilichukizwa na ujio wake na sioni namna ya kubadilika. Pengine hao matajili ndio wanapenda kusikia mambo ya namna hii.
Asipobadirika tutamnyoosha wenyewe.

Yanga siyo jukwaa la kutumika kueneza mipasho yenye maslahi yake binafsi na pride za kipumbavu.

Wapo wanaopenda ujinga wa Manara lakini ijurikane wazi wengine hatupendi upuuzi wake.

Imagine anavyojisifu Yanga kuchukuwa ubingwa anataka kutuaminisha yeye ni sehemu kubwa ya ubingwa wakati kila mtu anajuwa ni pesa za GSM ndio zimemleta yeye na Ubingwa.
 
Uwe na adabu kidogo, unapoitaja Yanga lazima uanze na maneno yafuatayo: bingwa wa ligi kuu ya Tanzania
 
Mshambuliaji miaka miwili kiwanjani una goli mbili (tena uskiute zote za penati)

Na yanga ilivyo na mbwembwe wamemtambulisha wakiwa wamemvika na kijora

Imagine hizo ni goli 2 lakini na kijora kavishwa

Ebu fikiria angekuwa na goli kumi tu hali ingeluwaje kwenye utambulisho wake?
Kipi kikusikitishacho rudia Mara tatu
 
Hahaha hii record ni very worst yani miaka miwili goli 2??

Nakuambie mpeni manula mechi 20 atafute goli mbili mtakuta katoka na goli 4 na assist kadhaa

Ndio maana hata Yanga wameona mmh huyu masai tukimpa contract ya kuanzia mwaka anaweza kutuachia shuka

Wamempa mkataba wa miezi 6

Mkataba wa mchezaji unakuwa na life span kama mkataba wa kupangisha fremu

Yani kiufupi hata ule mkataba wanaopeana bodaboda ni mzuri kuliko huu

Miaka miwili magoli mawili, huu ni uzembe wa namna gani, unajiita mshambuliaji lakini record zako ni kama golikipa

Kuchukua kombe kumewafanya watu wachanganyikiwe wamekosa hata mpangilio mzuri wa ku sort wachezaji, huyu wamemchagua kwa kigezo kipi au sijui kwasababu jina lake lilikua juu kwenye list?
Hana tofauti na Ditram Nchimbi.
 
Kambale hawezikuwa na maajabu yeyote, ameshindwa kuonesha imlact kwenye club yenye wachezaji wazuri wakumsaidia kufunga ndio aje huku uto?

Orlando wameshindwa kumtumia au yeye ndio ameshindwa kujitumja?

Man ebu kuwa serious two years kwenye club una goli 2, goli 2 kweli nawe ni mashambuliaji?

Hivi unafikiri kwanini wameamoa kimkataba chenhe deadline ya miezii 6 kama anapanga frem?

Yani kwa tafdiri fupi ni kwamba akipanga gheto leo hapo masaki miezi sita, asihangaike kuongeza mkataba aanze kufanya utaratibu wa kuangalia wapi atahifadhi asset zake
Wachezaji wa aina hii ndio wanaosababisha maafa siku ya Derby ya Watani. Maana unamwona wa kawaida sana akikutungua unazimia! Refer Morrison majina aliyokuwa anaitwa aliposajiliwa Yanga, mara mwizi wa magari hajui mpira mara anajua kupanda mpira kucheza hajui. Kilichotokea baadaye sote tunajua, aliwapiga Simba goli la kikatili halafu baadaye akasimisha nchi na FIFA (through CAS). Zaidi alikuja kuwa ndiye mkombozi wa Simba inapofeli plan zote uwanjani iwe kwelnye ligi ya Bongo au mechi za CAF. Tumpe muda Bw. Kambole!
 
Yanga ina kocha mwenye balaa kubwa na fomesheni ya hatari sana hata kama hujui kucheza vizuri na hujafunga goli hata moja msimu mzima kama Boko, Mugalu na Kagere ila ukipata training ya Nabi wiki tu balaa lako si la nchi hii. Kambole atakuja kuwapasua Mikia FC aka Makolo!!

Prof Nabi hata ukimpa "Ubelgiji FC" ya ndondo wiki moja tu ikija Simba wanaipasua! !

Fomesheni ya Yanga dhidi ya Mikia kule CCM Kirumba ni kali kuliko fomesheni za Real Madrid!

Simba haitotoboa hadi imuombe msamaha Hajji Manara kuna kitu we Young Africa fans do not know mmemfanyia Hajji na hamkisemi halafu jamaa ana nongwa kinoma na ana upepo flani , mtakoma!!
Halafu Kocha Nabi ndiye aliyemtaka huyo mchezaji. Ameulizwa kuhusu kutofunga akawajibu waandishi kuwa anafahamu na anajua atakavyomtengeneza ili arudi kwenye form. so, let us wait and see guys!
 
Chico Ushindi kwa mbaaaali nimeanza kumuelewa, itakuwa alikuwa majeruhi wa muda mrefu. Ana ball balance nzuri sana, mwili anao apunguze papara ambazo kwa mbaali nimeanza kuona akizinguza
Ngoja tumuone msimu huu.
 
Usajili kichaa huu,
Unaenda kumsajiri striker mwenye magoli 2 kwa miaka 2[emoji848]
 
Mpira ni uwanjani na sio maneno maneno na mipasho ya kikekike, kama yanga wamepigwa si itaonekana uwanjani kwani shida nini? Yule miksoni alivyoferi south africa akarudishwa ud songo kwa mkopo alikuwa mbaya? Mbona alienda akakiwasha upya? Yule morrison aliyeokotwa mitaani mbona alikuja akakiwasha hapa? Kuweni na akiba ya maneno na msiishi kwa kukariri eti kwa kuwa ameferi afrika kusini basi sio mchezaji mzuri, aujui ata mazingira wanayokutana nayo awa wachezaji anapohamia ligi nyingine kuna changamoto nyingi sana, Kwangu mimi ninahamini kambole anaenda kurudi kwenye moto wake ni suala la muda tu na mtayafuta maneno yenu
Changamoto gani alizokutana nazo ashindwe kuzitatua ndani ya miaka miwili ?
 
Wachezaji wa aina hii ndio wanaosababisha maafa siku ya Derby ya Watani. Maana unamwona wa kawaida sana akikutungua unazimia! Refer Morrison majina aliyokuwa anaitwa aliposajiliwa Yanga, mara mwizi wa magari hajui mpira mara anajua kupanda mpira kucheza hajui. Kilichotokea baadaye sote tunajua, aliwapiga Simba goli la kikatili halafu baadaye akasimisha nchi na FIFA (through CAS). Zaidi alikuja kuwa ndiye mkombozi wa Simba inapofeli plan zote uwanjani iwe kwelnye ligi ya Bongo au mechi za CAF. Tumpe muda Bw. Kambole!
Wachezaji wa aina hii ndio wanaosababisha maafa siku ya Derby ya Watani. Maana unamwona wa kawaida sana akikutungua unazimia! Refer Morrison majina aliyokuwa anaitwa aliposajiliwa Yanga, mara mwizi wa magari hajui mpira mara anajua kupanda mpira kucheza hajui. Kilichotokea baadaye sote tunajua, aliwapiga Simba goli la kikatili halafu baadaye akasimisha nchi na FIFA (through CAS). Zaidi alikuja kuwa ndiye mkombozi wa Simba inapofeli plan zote uwanjani iwe kwelnye ligi ya Bongo au mechi za CAF. Tumpe muda Bw. Kambole!
Morison alikuwa anajulikana ndani na nje ya uwanja Na kilichomtoa sauzi sio kwamba aliflop ni mambo yake ya nje ya uwanja
Ila huyu Kulwa kikumba wenu ni flop goli 2 ndan two season
 

Attachments

  • 20220617_095225.jpg
    20220617_095225.jpg
    27.8 KB · Views: 7
Changamoto gani alizokutana nazo ashindwe kuzitatua ndani ya miaka miwili ?
Waliosajili ni yanga nafikiri ata kama wameuziwa mbuz kwrnye gunia wewe aikuusu, waliotoa pesa ni yanga, aliyempendekeza ni kocha wa yanga, anayemlipa mshahara ni yanga ivyo sioni huu mjadala kama una afya yoyote zaidi ya kupotezeana muda hapa, ukizingatia bado ajaonyesha huo ubovu wake kwenye ligi yetu, bahati nzuri mpira unachezwa hadharani kama ni mbovu ataonekana tu kwani shida nini, atuwezi kumuhukumu mtu kwa historia yake ya nyuma mpaka tujiridhishe kwa vitendo na sio porojo za kwenye vijiwe vya kahawa
 
Wachezaji wa aina hii ndio wanaosababisha maafa siku ya Derby ya Watani. Maana unamwona wa kawaida sana akikutungua unazimia! Refer Morrison majina aliyokuwa anaitwa aliposajiliwa Yanga, mara mwizi wa magari hajui mpira mara anajua kupanda mpira kucheza hajui. Kilichotokea baadaye sote tunajua, aliwapiga Simba goli la kikatili halafu baadaye akasimisha nchi na FIFA (through CAS). Zaidi alikuja kuwa ndiye mkombozi wa Simba inapofeli plan zote uwanjani iwe kwelnye ligi ya Bongo au mechi za CAF. Tumpe muda Bw. Kambole!
 
Back
Top Bottom