Baada ya kukikali kitu cha usemaji kwa takribani miaka miwili hatimaye, Ali kamwe apokonywa tonge.
Ni Haji Manara baada ya kifungo chake kutamatika hatimaye amerudi kwenye kiti chake, huku bwana mdogo akiugulia maumivu kwa ndani. Waswahili wanasema usiache mbachao kwa msala upitao. Pole sana kamwe. Ukileta fyoko Manara anakutia makwenzi, na inasemekana kamwe ni mbishi akiambiwa aende dubai na boss yeye hukataa, lakini Manara yeye hanaga shida.
View attachment 3056411