Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Hakuna kitu kama hicho, Manara ndio msemaji wa yanga, huyo dogo kalazishwa tu akae ili kupoza mambo. Msemaji kimvuli.Mbona nimesikia karudishwa kwenye nafasi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho, Manara ndio msemaji wa yanga, huyo dogo kalazishwa tu akae ili kupoza mambo. Msemaji kimvuli.Mbona nimesikia karudishwa kwenye nafasi yake
Wamemuongezea mkataba wa miaka miwili inaweza kutokea ally akaja kuwa afisa habar akawa bos na manara kuwa msemajiMbona nimesikia karudishwa kwenye nafasi yake
Ok,nimeelewaWamemuongezea mkataba wa miaka miwili inaweza kutokea ally akaja kuwa afisa habar akawa bos na manara kuwa msemaji
Mhhh hiyo statement ya mwisho...Baada ya kukikali kitu cha usemaji kwa takribani miaka miwili hatimaye, Ali kamwe apokonywa tonge.
Ni Haji Manara baada ya kifungo chake kutamatika hatimaye amerudi kwenye kiti chake, huku bwana mdogo akiugulia maumivu kwa ndani. Waswahili wanasema usiache mbachao kwa msala upitao. Pole sana kamwe. Ukileta fyoko Manara anakutia makwenzi, na inasemekana kamwe ni mbishi akiambiwa aende dubai na boss yeye hukataa, lakini Manara yeye hanaga shida.
View attachment 3056411