Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Kaimu Mtendaji Mkuu, Simon Patrick umethibitisha rasmi kuachana na aliyekuwa Afisa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Hassan Bumbuli, baada ya muda wake kutamatika hivyo basi nafasi ipo wazi na inahitaji kujazwa.
Chanzo: Radio UFM
Chanzo: Radio UFM