Klabu ya Yanga yamtema rasmi aliyekuwa Afisa Habari na Mawasiliano Hassan Bumbuli

Klabu ya Yanga yamtema rasmi aliyekuwa Afisa Habari na Mawasiliano Hassan Bumbuli

Sasa watabaki na yule afisa habari mfungwa au itakuwaje?

Uongozi wa Hersi bado mchanga sana kiutendaji.
Yani unataka kumpangia muajiri mtu wa kumpa kibarua?

Huu ndio mwisho wa upeo wako kufikiri?
 
Back
Top Bottom