Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Yani unataka kumpangia muajiri mtu wa kumpa kibarua?Sasa watabaki na yule afisa habari mfungwa au itakuwaje?
Uongozi wa Hersi bado mchanga sana kiutendaji.
Tatizo Hersi anaonekana mwepesi sana, anaweza danganywa na mjinga nae akadanganyika.Transformation ndo inamuondoa huyu..Hersi anataka kufanya kazi na anayemuhitaji, anayeenda naye yaani.
Unatoa mtu ukiwa na mbadala, sio unatoa mtu nafasi inabaki wazi.Yani unataka kumpangia muajiri mtu wa kumpa kibarua?
Huu ndio mwisho wa upeo wako kufikiri?
SI fitna za wanamikia🦁Watavurugana hadi baas. Na badoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani kazi ya kuropoka nayo ina mbadala? Nitajie msemaji wa Liverpool.Unatoa mtu ukiwa na mbadala, sio unatoa mtu nafasi inabaki wazi.
Au wewe ndie msemaji ajaye?
Kwani utopolo iko ligi kuu ya Uingereza mpaka nikutajie msemaji wa Liverpool?Yani kazi ya kuropoka nayo ina mbadala? Nitajie msemaji wa Liverpool.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mvurugane hadi mpoteane kabisa.SI fitna za wanamikia[emoji881]
Dua la kuku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mvurugane hadi mpoteane kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtajijuuu.Dua la kuku
Sio nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtajijuuu.
Sijui ni limbwataHersi hapindui kitu kwa Sope,kila anachomuambia anakubali tu.
Shuntama hiyoSijui ni limbwata
Mta ji jei jei mwaka huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio nyie