1. Mama Kilango ni mbunge alianza kwa kupewa bure ubunge na sasa ni mbunge wa kuchaguliwa, ni vitu viwili tofauti na ni very important kwenye ku-determine msimamo wa mbunge bungeni, the point hapa ni kwamba tufike mahali bongo katiba ibadilishwe tusiwe na wabunge wa bure tena!
2. Mama ni former mwalimu wa Kisutu Sekondari, accountant ATC, Senior Accountant Gulf Air, Successful Business Woman on her own rights, na sasa mbunge wa Same East, makamu wa mwenyekiti kamati ya bunge Miundo Mbinu, mwenyekiti kamati ya bunge ya Ethics kwa viongozi wa taifa, ameweza on her own kufungua maduka makubwa ya nguo between Dodoma, Darsalama na Same, na vifaa vya ujenzi kwa kuleta bidhaa hizo kutoka USA na Europe, lakini hana nadharia ya sayansi, uchumi na mahusiano ya jamii? Pleeeeease jamani ma-professor wa JF damn!
3. Urais wa Tanzania? hivi kuna mahali popote kwenye interview ambapo amesema kuwa anahitaji ana mpango wa kugombea urais wa Tanzania? Ina maana all this nasty comments ni kwa sababu kuna wanaodhani kuwa atagaombea urais au? Kuacha Mwalimu ni nani mwingine aliwahi kuwa na hizo qualification za urais kama zinavyotakiwa hapa JF?
Ninaomba ksuema hivi, Mama Kilango anahitaji some adjustments touch ups hapa na pale kwenye view zake on important ishus za taifa, lakini sioni anything serious ambacho akiamua kugombea urais kinaweza kumzuia, kwanza ni haki yake kama Mtanzania, na kama anatimiza the most important qualification yetu CCM ya kuwa na angalau First Degree that is all what counts watakaoamua ni wananchi, na record lakini sisi wananchi wa Tanzania ndio tutakaoamua kulingana na safu ya wagombea na records zao period, personal problems za watu hazita-count kwenye taifa kama zinavyo lazimishwa hapa JF, hapana!
Mimi ninamtakia mafanikiio mema na safari njema ambayo ninajua kuwa itakuwa ni ndefu sana, maana kwa maoni mengi ninyoyaona hapa ni kwamba tayari amerithi maadui na marafiki, ninaamini kuwa anlijua hilo kwa karibu sana!
Ahsante Wakuu!