KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

Kama nimekuelewa vizuri unatuma ujumbe kuwa inawezekana hayuko tayari sasa hivi lakini anaweza kujiandaa na kuwa tayari hapo baadae.

Mkuu nimesoma kwa makini sana hizi comments, na kugundua kuwa kinachosemwa ni bigger than the interview yenyewe, unajua kuna tunaojua ku-read between the lines, sasa nikajiuliza kulikoni mi-comments mizito namna hii tena mingine ya kumponda kabisa Mbunge wa Taifa kama vile ni katibu kata? Maaana comments zingine ni nzito utafikiri mama anagombea ukatibu wa UN!

Ndio nikagundua kuwa kumbe mama tayari ni threat, ndio maana mkuu nikatoa maoni yangu kama wengine, kuwa mama akitaka kugombea urais, kitu ambacho hakukisema kwenye interview, sio tu kwamba anazo qualifications zote zinazotakiwa, bali ni haki yake kama mwananchi wa Tanzania, uamuzi wa wa sisi wananchi wa Tanzania.

Ahsante Mkuu!
 
jamani eehh huyu mama hawezi chochote na hivyo bora tu tumpe props zake lakini kusema kuwa rais, thats cheap talk na inaonyesha hatujui what we are dealing with. Ametoa hoja gani ya maana hadi hivi sasa bungeni ?? after all acheni mwanae asomeshwe huko india na babake wa kufikia eehhh yule kiongozi fulani!

sitaki kuongea sana lakini there is nothing in mama anna kilango trust me, i know her even though not very well ! na najua wengi pia humu wanamjua nje ndani ! but urais, excuse me ????

kama kuropoka bungeni ndio moja ya vigezo kugombea urais, basi anybody can be a prezidaa.
 
Uyo mama hana jipya ,ni sawa na scrape kifaa ambacho kimeshatumika ila kwa vile hauna fedha ya kupata kipya kinaweza kutumika tu kutufikisha tuendako.
 
jamani eehh huyu mama hawezi chochote na hivyo bora tu tumpe props zake lakini kusema kuwa rais, thats cheap talk na inaonyesha hatujui what we are dealing with. Ametoa hoja gani ya maana hadi hivi sasa bungeni ?? after all acheni mwanae asomeshwe huko india na babake wa kufikia eehhh yule kiongozi fulani!

sitaki kuongea sana lakini there is nothing in mama anna kilango trust me, i know her even though not very well ! na najua wengi pia humu wanamjua nje ndani ! but urais, excuse me ????

kama kuropoka bungeni ndio moja ya vigezo kugombea urais, basi anybody can be a prezidaa.

Kwani huyu aliyekuwa Ikulu sasa hivi amefanya nini cha maana? Afadhali hata huyu mama anakubali kusema kwamba tunakoenda siko, tugeuze mwelekeo tunaelekea kubaya nchi inaweza kuwaka moto kutokana na Watanzania wengi kukata tamaa ya maisha. Huyu aliyekuwepo Ikulu sasa hivi hata hili halioni naye ni Rais wa Jamhuri tukufu ya Tanzania, yule mwingine naye alikuwa busy akifanya ufisadi na kujilimbikizia mali ili awe tajiri wa kupindukia!!!!
 
i know her even though not very well !

Very strong analysis! Ila kwa taarifa tu ni kwamba kuanzia jana sehemu zote za internet Cafe bongo, zimetengeneza sana hela kutokana na hii interview, shule anayosoma yaani branch ya Dodoma, jana walismamisha masomo na kukaa kusikiliza mama akisema kwenye mtandao,

Mkuu MMJ mama anasema hana cha kusema, alinipigia simu muda mchache uliopita, anasema she caint wait to see you face to face na kukupa shukrani, lakini atakutwangia ni-pm utakapokuwa tayri nimfahamishe kuwa unapatikana,

Bravo KLH na Jamii Forums Mbele, unajua vitu kama hivi ndio vinatupa heshima mbele ya Jamii na heshima kwa wchangaiaji wote kwa michango mizito mizito saafi sana.
 
Very strong analysis! Ila kwa taarifa tu ni kwamba kuanzia jana sehemu zote za internet Cafe bongo, zimetengeneza sana hela kutokana na hii interview, shule anayosoma yaani branch ya Dodoma, jana walismamisha masomo na kukaa kusikiliza mama akisema kwenye mtandao,
.
uthibitisho please ! statistics also needed ! nakataa kwamba shule imesimamisha masomo ili kusikiliza interview ya anna, yaani es this is the biggest blow out nimeiona toka kwako ! are you saying kwamba anna kilango is entittled to special needs ? yeye nani hadi wakatishe masomo bana, es naomba tusiende huko lakini hapa mie napinga hadi kesho maana najua haikutokea na haitotokea ! kwani anna kilango is the new amina chifupa ?

i wont accept any words from you that you feel like saying if they are not facts ! naomba namba ya simu ya hicho chuo nipige niulize kama kweli walisimamisha masomo, and if so wafukuzwe kazi hao walimu kama walichokuwa wakifundisha had nothing to do with the interview.
 
Kwani huyu aliyekuwa Ikulu sasa hivi amefanya nini cha maana? Afadhali hata huyu mama anakubali kusema kwamba tunakoenda siko, tugeuze mwelekeo tunaelekea kubaya nchi inaweza kuwaka moto kutokana na Watanzania wengi kukata tamaa ya maisha. Huyu aliyekuwepo Ikulu sasa hivi hata hili halioni naye ni Rais wa Jamhuri tukufu ya Tanzania, yule mwingine naye alikuwa busy akifanya ufisadi na kujilimbikizia mali ili awe tajiri wa kupindukia!!!!

why should we really care that much about things that we cant do distract the things that we can do?? huwezi kumtoa jk ikulu sasa hivi, ndiye huyo huyo sikosei uliyempigia kura, lakini kama mnasema anna kilango ni potential then we have every reason kumtazama na kuangalia kwa kina kama anafaa. Hata yakitolewa majina 80,000 ya watu kugombea urais, kilango hatokuwepo let alone huo ubunge ni kama kapewa tu kufutia jasho !
 
Mkuu ninakupenyezea namba ya kumpigia ili uongee naye wewe mwenyewe, wewe mwambie tu kuwa ni member wa JF anajua vizuri!

Check your PM!
 
Mkuu ninakupenyezea namba ya kumpigia ili uongee naye wewe mwenyewe, wewe mwambie tu kuwa ni member wa JF anajua vizuri!

Check your PM!

asante nimepata pm yako !

nikimpigia anna ataweza kuniambia uliyoniambia wewe yaani :
(a) watu waliingiza hela sana jana kutokana na interview yake ?
(b) shule ilisimamisha masomo kumsikiliza yeye ?
(c) - - -da da da
naona amekuwa selebriti siku hizi mzee, lols
nitampigia baadae nimsikie !!
 
Nimefuatilia hii thread mpaka nimeshindwa kunyamaza. Sikutegemea JF tunaweza kujishusha kiasi hiki. Yaani katika watu wote tanzania kweli tunaweza kukaa na kujadili Anne Kilango kuwa rais, kweli tumeishiwa. Hebu jitahidi mumjue vizuri nje ya hii interview ailyotoa. Vidokezo vikubwa ni kwake kuponda serikali iliyopita na kumfagilia JK. Yeyote mwenye kuona mbali atajua maana yake.
 
Kada nimekupata mkuu, saafi sana wewe mtwangie tu! hana noma bongo mambo moto moto mkuu hakuna kulala watu wameamka wanajua nani ni nani sasa!
 
Nimemskiliza mama huyu mara nyingi kwenye hii interview(kwa kurudia rudia). Mkuu zitto najua huwa unapitapita kila mara nashauri waambie weshimiwa wabunge maana najua wengine huwa labda hawaingii hapa, waweze kusikiliza hii interview yake.

Nimekuwa muda mrefu sijasikia maneno mazuri /mazito aliyokuwa akiyaongea mwalimu. Kwa mama huyu nimeyasikia. Ni maneno mazito ambayo hayana woga, wala unafiki. Shukrani Mwanakijiji.
 
Lets not generalise! Does it mean all men are performers in the positions that they have? Not at all.... equally it doesnt follow that all women are non-performers..wanabebwabebwa! Wapo wanawake kama ilivyo wanaume wanaobebwa... ni suala la individual na siyo group.Tuepuke ku generalise..tuepuke sweeping statements.Akina Anne Kilango wapo wengi Tanzania..tatizo ni kuwa ili uonekane wewe mwanamke..yataka kazi ya ziada.... pengine inahitaji hao wanaume wakukubali..wakupishe uende mbele na wewe uonwe! Jiulize..before Anne kuwa mbunge..wangapi walimjua????..... sasa je..ni wangapi wapo kwenye background wanafanya makubwa hawajaonwa?????..
Remember :Everyone has talent. What is rare is the courage to follow the talent to the dark place where it leads....
HABARI NDIO HIYO!
 
Back
Top Bottom