Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Klinik Ya Ngozi BURE Online Wiki Hii
Dr.Mussa Zaganza nimekuwa kwa muda mrefu nikiwasaidia watanzania ushauri wa kutunza ngozi zao kwa njia za asili.Na Wiki Hii nimeandaa klinik ya ngozi kupitia group la whatsapp ambapo utapata kujifunza yafuatayo:
Makundi 4 ya ngozi,jinsi ya kuipima ngozi yako ni kundi lipi na namna ya kuitunza kila ngozi kulingana na kundi. Makundi haya ni ngozi ya mafuta,kavu,kawaida na mchanganyiko
Yajue madhara ya vipodozi vyenye kemikali na vijue vipodozi vya asili badala yake
Kutatuliwa changamoto mbali mbali za ngozi ulizonazo ikiwemo chunusi, mba, mapunye, kupasuka miguu (magaga/kea), kuondoa weusi mapajani au makalioni ,mafuta mengi kwa ngozi, na mengineyo
Piga simu au text kwenda 0713039875 kujiunga Darasani . au kwa msaada wa ngozi
Jiunge muda huu, nafasi ni chache
Dr.Mussa Zaganza nimekuwa kwa muda mrefu nikiwasaidia watanzania ushauri wa kutunza ngozi zao kwa njia za asili.Na Wiki Hii nimeandaa klinik ya ngozi kupitia group la whatsapp ambapo utapata kujifunza yafuatayo:
Makundi 4 ya ngozi,jinsi ya kuipima ngozi yako ni kundi lipi na namna ya kuitunza kila ngozi kulingana na kundi. Makundi haya ni ngozi ya mafuta,kavu,kawaida na mchanganyiko
Yajue madhara ya vipodozi vyenye kemikali na vijue vipodozi vya asili badala yake
Kutatuliwa changamoto mbali mbali za ngozi ulizonazo ikiwemo chunusi, mba, mapunye, kupasuka miguu (magaga/kea), kuondoa weusi mapajani au makalioni ,mafuta mengi kwa ngozi, na mengineyo
Piga simu au text kwenda 0713039875 kujiunga Darasani . au kwa msaada wa ngozi
Jiunge muda huu, nafasi ni chache