JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mchezo wetu (Liverpool) ugenini dhidi ya Manchester United ni mechi maalum kwa United kuliko wanapocheza dhidi ya timu nyingine, wanacheza kwa bidii zaidi ya kawaida yao, ndio maana inakuwa mechi ngumu, hivyo ndivyo ilivyo.
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, Aprili 7, 2024, ametoa kauli hiyo baada ya matokeo ya magoli 2-2 ya timu yake dhidi ya Manchester United katika Premier League, akielezea sababu kwa nini mchezo baina ya timu hizo huwa unakuwa mgumu kwake hata kama United haina kiwango kizuri.
Rekodi za Liverpool ya Klop dhidi ya Man United ikiwa chini ya Kocha Erik ten Hag:
Robo Fainali FA Cup (Machi 17, 2024)
Man United 4-3 Liverpool
EPL (Desemba 12, 2023)
Liverpool 0-0 Man United
EPL (Machi 5, 2023)
Liverpool 7-0 Man United
EPL (Agosti 22, 2022)
Man United 2-1 Liverpool
Kirafiki (Julai 12, 2022)
Man United 4-0 Liverpool
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, Aprili 7, 2024, ametoa kauli hiyo baada ya matokeo ya magoli 2-2 ya timu yake dhidi ya Manchester United katika Premier League, akielezea sababu kwa nini mchezo baina ya timu hizo huwa unakuwa mgumu kwake hata kama United haina kiwango kizuri.
Rekodi za Liverpool ya Klop dhidi ya Man United ikiwa chini ya Kocha Erik ten Hag:
Robo Fainali FA Cup (Machi 17, 2024)
Man United 4-3 Liverpool
EPL (Desemba 12, 2023)
Liverpool 0-0 Man United
EPL (Machi 5, 2023)
Liverpool 7-0 Man United
EPL (Agosti 22, 2022)
Man United 2-1 Liverpool
Kirafiki (Julai 12, 2022)
Man United 4-0 Liverpool