Chelsea huyuhuyu mke wa man u?Hii ni kweli kabisa rejea mechi ya UEFA super cup dhidi ya Chelsea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chelsea huyuhuyu mke wa man u?Hii ni kweli kabisa rejea mechi ya UEFA super cup dhidi ya Chelsea
Chelsea walikaa miaka mingapi bila title na baadae wakachukua?
Kama tunavojua kwa misimu yote ya nyuma, LFC hawana pumzi ya mbio za marathon, wataishia njiani! Majeruhi kwa Mo Salah, Mane na Firmino ubingwa kwaheri!
Hivi Klopp naye anapita humu jf ili asome haya maoni yako? After all kwani wewe lengo lako ni kutaka Liverpool awe bingwa au ni kujitia ujuaji ili ikitokea Liverpool wamefeli uanze kubwabwaja eti ulisema? Kwenye haya mambo ya mpira Klopp pamoja na benchi lake wana akili ( ya mpira) kuliko wewe jumlisha na mashabiki uchwara wenzako wote. Kasoro zote za timu yake anazijua na ikitokea hajazirekebisha kwa kuleta wachezaji wapya inawezekana wameshindwa kufanya hivyo na hata akisajili si kwa vile wewe umesema. La muhimu tufurahishane kwa kutoa maoni yoyote LAKINI si kama hayo ya kwako. La kama umeona Klopp hakusikilizi basi peleka ushauri wako hata kwa Everton kama man. city nao hawatakusikiliza kwa kufanya reinforcement kwa back line yao.Moderators naandaa uzi wangu halafu mnatoa taarifa **** siruhusiwi kutumia sehem ya postings!mnamaanisha nini?acheni udikteta!kama ni liverpool hata mi ni mshabiki sana tu ila nasema ukweli kuwa pasipo mbadala wa salah,mane firminho ubingwa utaenda city!klopp aache ubishi!asajili!!!
Hii ni kweli kabisa rejea mechi ya UEFA super cup dhidi ya Chelsea
LFC have nothing to prove anything to any-freaking-body.Kama tunavojua kwa misimu yote ya nyuma, LFC hawana pumzi ya mbio za marathon, wataishia njiani! Majeruhi kwa Mo Salah, Mane na Firmino ubingwa kwaheri!
Hukutakiwa kuanzisha uzi. Jukwaa la kopites lipo. Pale kuna wachambuzi wazuri na bora kabisa. Huu upuuzi ulioleta huku kwanza si rahisi kuonekana. Ungeweka kule jukwaani kwetu.M-mbabe no pretenders here!!i've been a kopite since my childhood!but truth to be told!klopp should adress the squad if he want to be on the front foot for two major trophies!!!dont u remembe in ucl final 2018 salah was injured and game over?lallana played with no impact at all!a true kopite should be sensitive to the weakness of his team!!!
true Kopites tunajua namna ya kuikosoa timu yetu. huwezi kuuita timu unayoipenda "moto wa mabua" kama ulivofanya wewe.M-mbabe no pretenders here!!i've been a kopite since my childhood!but truth to be told!klopp should adress the squad if he want to be on the front foot for two major trophies!!!dont u remembe in ucl final 2018 salah was injured and game over?lallana played with no impact at all!a true kopite should be sensitive to the weakness of his team!!!
Hukutakiwa kuanzisha uzi. Jukwaa la kopites lipo. Pale kuna wachambuzi wazuri na bora kabisa. Huu upuuzi ulioleta huku kwanza si rahisi kuonekana. Ungeweka kule jukwaani kwetu.
Uje upambane na kina King Ngwaba MosDef mbabe Malafyale Captain Marvelous na wengine.huku ni uchochoroni.
@BREED njoo jukwaa kuu tukufundishe uchambuziHukutakiwa kuanzisha uzi. Jukwaa la kopites lipo. Pale kuna wachambuzi wazuri na bora kabisa. Huu upuuzi ulioleta huku kwanza si rahisi kuonekana. Ungeweka kule jukwaani kwetu.
Uje upambane na kina King Ngwaba MosDef mbabe Malafyale Captain Marvelous na wengine.huku ni uchochoroni.