KMC 1-4 Simba | Tabora| Ligi kuu ya NBC

Kwa kweli wachezaji wetu wengi hawajiamini huo ni ukweli mchungu ndiyo maana hawawezi kuwa na ujasiri wa kuchambua ngome ya wapinzani na kucreate clear chances kama akina Chama na Mique na yote ni kwa sababu wengi wao ni waoga na wavivu
 
Kwa kweli wachezaji wetu wengi hawajiamini huo ni ukweli mchungu ndiyo maana hawawezi kuwa na ujasiri wa kuchambua ngome ya wapinzani na kucreate clear chances kama akina Chama na Mique na yote ni kwa sababu wengi wao ni waoga na wavivu
Usiseme waoga na wavivu, uwezo wao ndio umeishia hapo

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…