Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Kaseja sasa hivi hata laki 5 anachuku@!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana.Nakusalimia mkuu NAWATAFUNA
Probably kikosiPatashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League (VPL) Kuendelea kupigwa leo July 7, 2021 ambapo Kinondoni Municipal KMC FC, wanawakabili Mabingwa wa Nchi Simba SC, kwenye Dimba la Mkapa Jiji Dar es salaam.
KMC FC wanaingia Dimbani wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa mkondo wa kwanza, hivyo kwa upande wao wanasema wanaingia na mbinu nyingine ya kutofungwa huku Simba SC wakisema wanazitaka alama tatu ili kujiweka karibu kabisa na Ubingwa.
Kocha wa KMC FC Habibu Kondo amesema kuwa "Simba SC walitufunga mchezo wa kwanza haijalishi wamekuja kupoteza mchezo wao uliopita pia, lakini sisi tunatengeneza mbinu zetu ili wasitufunge mchezo wa kesho (leo)". Amesema Kondo.
Kwa upande wake Kocha Msaidizi Suleiman Matola amesema "Maandalizi kwenye mchezo wa kesho (leo) yamekamilika kwa kiasi kikubwa huku matumaini ya ushindi yakiwa makubwa.
Mchezo utakuwa mgumu kwasababu Ligi inaelekea ujingoni na kila timu inataka kumaliza ikiwa katika nafasi nzuri, sisi tunataka ubingwa na tunaamini tutaondoka na alama tatu muhimu". Amesema Matola.
Yote kwa Yote dakika 90 za jasho na damu kuamua.. Usikose Ukasimuliwa..Kumbuka mchezo huu ni kuanzia saa 1:00 Usiku
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
....Ghazwat....
Saa 1 mpendwaMechi saa ngapi wapendwa?
Asante mpendwaSaa 1 mpendwa