KMC FC Vs Simba SC (0-2) | Dimba la Benjamin Mkapa | Vodacom Premier League VPL

Probably kikosi
Ally Salim
Kapombe
J.kenedy
Wawa
Lwanga
Ndemla
Chama
Miraji
Miqsone
Bocco
 
Utopolo Walikuwa hawatii mguu Kwenye nyuzi Kama hizi, Sasa Wamepata nguvu Wapo wengi humu......!
KMC anakufa muendelee Kuwepo humu...!
 
Nawatakia kila heri Simba ili muweze kuchukuwa ubingwa mliohangaikia toka ligi inaanza. Lakini benchi la ufundi kuanzia leo lianze kuwatumia Dilunga na Ndemla hata kwa dakika chache ili ikifika siku ya fainali ya FA Kigoma wawe tayari kwa mapambano. Ikiwa kuna ulazima wa Morison kutumika awe anaanzia benchi halafu aingie zikiwa zimebaki dakika 30/20 za mwisho na pia aelezwe aache utoto na ubinafsi wa kukaa na mpira muda mrefu akitaka afunge peke yake wakati timu ina wachezaji 11 uwanjani. Na ajifunze kukaba badala ya kutembea uwanjani wakati amenyang'anywa mpira.
 
Watakuwa wamehaidiwaa kitu[emoji1787][emoji1787]
 
02' Mugalu Goooooooooaaal Goooooooaaal

Kope Mutshimba Mugalu anaipatia Simba SC bao la kwanza akipokea pasi murua kutoka kwa Chama

KMC FC 0-1 Simba SC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…